Poleni na majukumu wana jf naombeni msaada wenu!

Poleni na majukumu wana jf naombeni msaada wenu!

MAANAX

Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
36
Reaction score
2
Mimi ni kijana wa miaka 20 nimekuwa so mpweke for long time but sasa nimeamua kufunguka ili mnisaidie kama wana JF,
sirious nataka mpenzi wa kike ambae yuko tayari kuwa mke wangu, na nataka awe mnene but sio sana pia mkweli na asiwe mrefu sana na ajue kupikia vyungu vyote. kama yupo aliye tayar an find 0756525889.Asante
 
haya mi ntakupigia ila nataka kujua bills outing utalipia??
au ndo baba this uncle that??
 
haya mi ntakupigia ila nataka kujua bills outing utalipia??
au ndo baba this uncle that??
amu, VYUNGU VYOTE unajua kupikia weye?

Doh dogo..20 yrs???!:tape2:
 
Last edited by a moderator:
hawa si watoto wa murugo na kawambwa!???????miaka 20 kweli digital hatar
 
duuh tuna safari ndevu na elimu ya tanzania kumbe mpaka watoto wa 4m 5 wako humu wanataka kuoa
 
Back
Top Bottom