KDF-BabaYao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 221
- 317
Duh kumbe hata hii video ni miezi tisa zilizopita, hii hapa ni ya 6days ago.
Design ya barabara yao ndio mbovu. These people don't like raising their roads off the ground. Sasa hapo ni mkondo wa mto ila hawataki kuinua barabara au kujenga daraja ndefu. Matokeo ni mafuriko.
Duuuh poleni ndugu zetu, nimepata habari hizi leo. I hope Pombe alideal na hii issue.
Si vizuri kuona bus zenu za mwendokasi zikizimika barabarani kwa sababu ya mafuriko
Shida inaweza kuwa gani: design ndio ilikuwa mbaya, mchina aliwacheza chenga ama ni drainage mbovu mnazo?
I hope hakuna alieangamiaπββοΈπ€π₯
https://www.facebook.com/
Kila siku mlikuwa mnatucheka, sioni difference yetu na Tz...kwanza yenyu worseπ₯πββοΈ
Si kwanza hii ni ile barabara wamekuwa wakijipigia kifua hapa ati its modernπββοΈDesign ya barabara yao ndio mbovu. These people don't like raising their roads off the ground. Sasa hapo ni mkondo wa mto ila hawataki kuinua barabara au kujenga daraja ndefu. Matokeo ni mafuriko.
Halafu wao pia hawana drainage na walikuwa wanatucheka.
Waaah kumbe ilikuwa serious issueπββοΈπ₯
Ndio maana saizi tumedhamiria kuwapiga spana maccm yote wakiongozwa na gari ya mkaa,kampeni 1 gereji wiki
Huyo hatumtaki! Kenya atapata wakati mgumu sana. Humu watu vichwa ngumu π ila tunawatakia uchaguzi wenye amani!Ndio maana saizi tumedhamiria kuwapiga spana maccm yote wakiongozwa na gari ya mkaa,kampeni 1 gereji wiki
Wamekuwa waste Sana kwenye hii nchi,nyie wakenya Kama mnamtaka dikteta uchwara njooni mumchukue bila malipo ,tunawapa Kama zawadi ya ujirani mwema πππππ€ͺ π€ͺπ€ͺπ€ͺ
Ndio maana saizi tumedhamiria kuwapiga spana maccm yote wakiongozwa na gari ya mkaa,kampeni 1 gereji wiki
Wamekuwa waste Sana kwenye hii nchi,nyie wakenya Kama mnamtaka dikteta uchwara njooni mumchukue bila malipo ,tunawapa Kama zawadi ya ujirani mwema πππππ€ͺ π€ͺπ€ͺπ€ͺ
Mukimfurusha, tutamruhusu avuke border kisha tumfunge pale Kamiti Maximum Prison na mahabusu wenzakeπNdio maana saizi tumedhamiria kuwapiga spana maccm yote wakiongozwa na gari ya mkaa,kampeni 1 gereji wiki
Wamekuwa waste Sana kwenye hii nchi,nyie wakenya Kama mnamtaka dikteta uchwara njooni mumchukue bila malipo ,tunawapa Kama zawadi ya ujirani mwema πππππ€ͺ π€ͺπ€ͺπ€ͺ
The next venice au sio, kwa hivyo waanze kujipanga mapema. Hakuna haja ya kutengeneza sky scrapers hukoπ€£Dar is a sea. Dares slum itamezwa na bahari in the next 80 years as sea levels rise.
Ndio maana saizi tumedhamiria kuwapiga spana maccm yote wakiongozwa na gari ya mkaa,kampeni 1 gereji wiki
Wamekuwa waste Sana kwenye hii nchi,nyie wakenya Kama mnamtaka dikteta uchwara njooni mumchukue bila malipo ,tunawapa Kama zawadi ya ujirani mwema [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji2957] [emoji2957][emoji2957][emoji2957]