Poleni sana Simba Sports Club

Poleni sana Simba Sports Club

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Leo ilikuwa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi. Mlijiamini kwa asilimia 100 kuwa kombe mnalibeba mkasahau kuwa mpira ni dakika tisini. Poleni sana. Binafsi naona kuwa mlifanya uamuzi usio wa busara kwa kuachana na Kocha Patrick Aussems.

Kocha huyu mlieachana naye alikuwa anajua kuusoma mpira na mafanikio yote ya Simba yalitokana na kocha Aussems kwa kuwa karibu na wachezaji na kuwapa mbinu za ushindi. Nazidi kuwapa pole, POLENI SANA.
 
Leo ilikuwa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi. Mlijiamini kwa asilimia 100 kuwa kombe mnalibeba mkasahau kuwa mpira ni dakika tisini. Poleni sana. Binafsi naona kuwa mlifanya uamuzi usio wa busara kwa kuachana na Kocha Patrick Aussems. Kocha huyu mlieachana naye alikuwa anajua kuusoma mpitra na mafanikio yote ya Simba yalitokana na kocha Aussems kwa kuwa karibu na wachezaji na kuwapa mbinu za ushindi. Nazidi kuwapa pole, POLENI SANA.
Vitani lazima ujiamini hata klabu ya Mlandege iliamini inalitwaa Kombe ,utakuwa ni taahira utakaenda kwenye mashindano usijiamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom