Kwan ngap ngapi ?Hakuna kuwapa pole..ndio kiwango chao ndio maana walitolewa awali kwenye CAF Champions league
Wewe ni Mikia unaejifanya YangaAdui muombee njaa, ila watani mechi ya leo refa kawaua,Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi wa TZ tatizo.
Ila kocha wenu tatizo,Simba wanacheza mpira wa kawaida sana tena kama wanabahatisha.
Kuanzia Sasa Kuna possibility ya kufungwa mechi tano mfululizoKawaida hiyo bado tuko kileleni tunawasubiri wenye baiskeli za mbao ili tuanze safari mpya pamoja. Povu ruksa
Mimi mpenzi wa mpira na mpenzi wa Yanga,sio shabiki kama ww na mpira naujua Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi sasa hivi hawajiamini na wana presha sababu Mwenzao kafungiwa miaka mitatu.
Mpenzi wa Yanga hawi Mbumbumbu kama wewe.Mimi mpenzi wa mpira na mpenzi wa Yanga,sio shabiki kama ww na mpira naujua Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi sasa hivi hawajiamini na wana presha sababu Mwenzao kafungiwa miaka mitatu.
Tatizo lako mpira hujui,sikulaumu kuwa mpinzani wa Simba haikuzui kuona madudu yatakayo fanyika kwenye mechi ya Simba.
Achana na huyo mpuuzi. Ye badala ya kuongelea uhalisia anatanguliza unazi.Tatizo lako mpira hujui,sikulaumu kuwa mpinzani wa Simba haikuzui kuona madudu yatakayo fanyika kwenye mechi ya Simba.
Uhalisia huo hapoAchana na huyo mpuuzi. Ye badala ya kuongelea uhalisia anatanguliza unazi.
Madela fc leo ndio mmeonyesha kiwango chenu halisi,bila offside ni sawa na CCM bila Jeshi la Polisi na watu wasiojulikana.Tatizo lako mpira hujui,sikulaumu kuwa mpinzani wa Simba haikuzui kuona madudu yatakayo fanyika kwenye mechi ya Simba.