Poleni sana wapenzi wa klabu ya Simba

Poleni sana wapenzi wa klabu ya Simba

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kwa wiki nzima kaulimbiu ya wapenzi wa Klabu ya Simba "YANGA HAWATOKI SAFARI HII KWA USAJILI HUU ULIOFANYIKA" lakinI pamoja na kaulimbiu yenu Yanga wametoka na mmefungwa. Lawama zote zimuendee kipa CAMARA.

Mpira uliopigwa na Chama kwa asilimia 100 ulikuwa unatoka nje sasa mbwembwe za nini kuufuata mpira ili audake. Huyu kipa ndo amewaangusha anayo mbwembwe sana na kama angekuwa Manula golini lile lisingekuwa goli.

Mziki wa Yanga bado unatisha. Kipindi cha pili Simba walikuwa kama watoto wadogo na Yanga walimiliki mpira kwa asilimia 55 dhidi ya simba asilimia 45. Poleni sana Wapenzi wa Simba huo ndiyo mpira.
 
Kwa wiki nzima kaulimbiu ya wapenzi wa Klabu ya Simba "YANGA HAWATOKI SAFARI HII KWA USAJILI HUU ULIOFANYIKA" lakinI pamoja na kaulimbiu yenu Yanga wametoka na mmefungwa. Lawama zote zimuendee kipa CAMARA. Mpira uliopigwa na Chama kwa asilimia 100 ulikuwa unatoka nje sasa mbwembwe za nini kuufuata mpira ili audake. Huyu kipa ndo amewaangusha anayo mbwembwe sana na kama angekuwa Manula golini lile lisingekuwa goli. Mziki wa Yanga bado unatisha. Kipindi cha pili Simba walikuwa kama watoto wadogo na Yanga walimiliki mpira kwa asilimia 55 dhidi ya simba asilimia 45. Poleni sana Wapenzi wa Simba huo ndiyo mpira.
Ahsante kocha wa Utopolo!
 
Mbeleko
20241020_103655.jpg
 
Kwa wiki nzima kaulimbiu ya wapenzi wa Klabu ya Simba "YANGA HAWATOKI SAFARI HII KWA USAJILI HUU ULIOFANYIKA" lakinI pamoja na kaulimbiu yenu Yanga wametoka na mmefungwa. Lawama zote zimuendee kipa CAMARA. Mpira uliopigwa na Chama kwa asilimia 100 ulikuwa unatoka nje sasa mbwembwe za nini kuufuata mpira ili audake. Huyu kipa ndo amewaangusha anayo mbwembwe sana na kama angekuwa Manula golini lile lisingekuwa goli. Mziki wa Yanga bado unatisha. Kipindi cha pili Simba walikuwa kama watoto wadogo na Yanga walimiliki mpira kwa asilimia 55 dhidi ya simba asilimia 45. Poleni sana Wapenzi wa Simba huo ndiyo mpira.
Simba ni timu nzuri, na walijitahidi. Changamoto waliyonayo bado ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja. Wanaowaita vijana wao, jana dk za mwishoni walikuwa hoi, Concetration na stamina vilikuwa vinasoma 0%.
 
Kwa wiki nzima kaulimbiu ya wapenzi wa Klabu ya Simba "YANGA HAWATOKI SAFARI HII KWA USAJILI HUU ULIOFANYIKA" lakinI pamoja na kaulimbiu yenu Yanga wametoka na mmefungwa. Lawama zote zimuendee kipa CAMARA. Mpira uliopigwa na Chama kwa asilimia 100 ulikuwa unatoka nje sasa mbwembwe za nini kuufuata mpira ili audake. Huyu kipa ndo amewaangusha anayo mbwembwe sana na kama angekuwa Manula golini lile lisingekuwa goli. Mziki wa Yanga bado unatisha. Kipindi cha pili Simba walikuwa kama watoto wadogo na Yanga walimiliki mpira kwa asilimia 55 dhidi ya simba asilimia 45. Poleni sana Wapenzi wa Simba huo ndiyo mpira.
Mbumbumbu Sc wakisoma hapa na kukuelewa ujue wanaanza kuwa werevu.
 
Tatizo la simba ni akili iliyojaa visingizio vya kufungwa!!
 
Kwa wiki nzima kaulimbiu ya wapenzi wa Klabu ya Simba "YANGA HAWATOKI SAFARI HII KWA USAJILI HUU ULIOFANYIKA" lakinI pamoja na kaulimbiu yenu Yanga wametoka na mmefungwa. Lawama zote zimuendee kipa CAMARA.

Mpira uliopigwa na Chama kwa asilimia 100 ulikuwa unatoka nje sasa mbwembwe za nini kuufuata mpira ili audake. Huyu kipa ndo amewaangusha anayo mbwembwe sana na kama angekuwa Manula golini lile lisingekuwa goli.

Mziki wa Yanga bado unatisha. Kipindi cha pili Simba walikuwa kama watoto wadogo na Yanga walimiliki mpira kwa asilimia 55 dhidi ya simba asilimia 45. Poleni sana Wapenzi wa Simba huo ndiyo mpira.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Back
Top Bottom