Poleni waathirika, shukrani na hongera kwa makomando kwa kukamilisha shughuli

Mkuu kwanza Poleni wakenya wote.

Lakini nikukumbushe kuwa kazi ya jeshi linapokuja suala la kifo hakuna tofauti na hao magaidi wa kujitoa muhanga. Tofauti ni kuwa gaidi anajitoa kufa kwa maslahi binafsi wakati mwanajeshi anajitoa hata kufa kwa maslahi ya taifa.

Hawa wanajeshi ni wazalendo wa kwanza.
 
poleni sana jirani zetu, pole Mheshimiwa sana Rais Uhuru, rais ninayekukubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kumbe mpaka leo bado wanawatesa? Na US troops na Royal Army juu? Dah aisee
 
hivi Makomando jeshi gani?
unapotaja KDF je Makomando sio sehemu ya KDF?
MK254 saidia hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee poleni Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@soine bora umeona umbumbu na ujuaji wa huyo jamaaa. Mara nyingine bora kunyamaza kimya kuliko kufungua domo linalonuka. Unajifanya kujua kumbe hajui chochote...heko wanajeahinna wana usalama wa Kenya
hivi Makomando jeshi gani?
unapotaja KDF je Makomando sio sehemu ya KDF?
MK254 saidia hili

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wamekuja kuadhimisha miaka mitatu (3) tangu shambulio lao la mwisho lililofanyika 15.01.2016.
wakarudi 15.01.2019.
 
hivi Makomando jeshi gani?
unapotaja KDF je Makomando sio sehemu ya KDF?
MK254 saidia hili

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwenye jeshi lolote huwa kuna kundi maalum ambalo huitwa special forces, hata huko kwenu kunao ambao huonyeshwa kwenye tamasha la kitaifa.
Hawa jamaa hupitia mafunzo ya kila aina na huchaguliwa ndani ya jeshi, ili ujiunge nao lazima upitie mazoezi yasiyo ya kawaida, kule Marekani kuna makundi mbali mbali ya aina hii wakiwemo Navy SEALS, Delta Force n.k.
Yaani usaili wa Navy SEAL unapitia mambo makubwa hata kabla hujachaguliwa kuanza mafunzo.....

 
mkuu pole kwa kujibu lakini nilikuwa namasuta huyobkanya boya asiyeelewa kuwa kila jeshi lina kikundi chenye mafunzo maalum ya ukomandoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama wameshindwa watuombe msaada tuko vizuri...
 
Unaposema vifo ni vichache, ulitegemea kuanzia watu wangapi ndio useme ni vichache, na hadi sasa waliokufa ni wangapi?, subiri hadi tukio lifike mwisho ndio useme hivyo. Kuhusu makomandoo wanapatikana Katika jeshi la Ulinzi pekee na ni watu maalumu ndani ya Jeshi la ulinzi wanaopewa mafunzo maalumu, hawapatikani POLISI kama unavyodai.

Kawaida ni pale wanapoombwa kushiriki tukio endapo majeshi na wanajeshi wa kawaida wameshindwa. Wakati wa West gate attack hao makomandoo walikua wapi mbona magaidi yalitamba kwa zaidi ya siku NNE, kwasababu kule KDF walifanya vibaya, husikii kutajwa makomandoo, ila kwasababu kuna dalili za kufanya vizuri this time, ndio unasikia makomandoo, subiri mwisho kama hao magaidi hawatokamatwa, hutosikia makomandoo wakitajwa tena, wakenya ni watu wa kupenda sifa za kijinga always.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaripotiwa kwamba Watu 15 wameuawa ktk shambulio la Kigaidi lililotokea ktk Hotel kubwa ya kifahari ya DusitD2 Jijini Nairobi Kenya, aidha Kundi la Kigaidi la Al-Shabaab limedai kuhusika ktk shambulio hilo.#MillardAyoUPDATES (AFP) millardayo on Twitter
 
@soine bora umeona umbumbu na ujuaji wa huyo jamaaa. Mara nyingine bora kunyamaza kimya kuliko kufungua domo linalonuka. Unajifanya kujua kumbe hajui chochote...heko wanajeahinna wana usalama wa Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Heko wakati hakuna hata gaidi hata mmoja hadi sasa aliyekamatwa na idadi ya waliouliwa inaongezeka?, very weak security organs, nchi imegeuzwa kuwa punching bag na Alshabab, bure kabisa ninyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikuwa wanajua mchongo hao
 
Mbona hao Al shabbabu hawavamii Tz, Uganda, Rwanda, Burundi, Zanzibar, Sudani na kwingineko badala yake wavamie Kenya? Hii ni zaidi ya mara moja wanavamia kenya .Hivo tusiangalie tukio tuangalie sababu zipi zinapelekea kenya avamiwe? Logically huwezi ondoa tatizo bila kujua chanzo ni nn.
Wakae chini wajirekebishe na kuokoa maisha ya wakenya wanaokufa bila hatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…