REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
😂😂😂😂😂
Wivu 😂😂Poleni sana tena sana endeleni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini
Ila ukimwambia lissu anaweza kukuongezeaIngawa ni mtumishi wa umma na amenikatili ila sito sahau suala la Bandari
Lissu anaongoza serikali ipi? Vijana wa CCM akili mmeziweka wapi? Mtu anaongea kama unatumia tundu la haja kubwa.Ila ukimwambia lissu anaweza kukuongezea
Yeye si hapendi uonevu na mara zote yeye ni mkweli kwahiyo anaweza kuwavusha katika hiliLissu anaongoza serikali ipi? Vijana wa CCM akili mmeziweka wapi? Mtu anaongea kama unatumia tundu la haja kubwa.
Pole