Acha hasira za kitoto. Habari za kupungua mwili zinahusika vipi?Nimekaona kamepungua mwili, uso umejikunja, aibu za wizi wa kura waliofanya sasa nafsi zao zinawasuta.
Mpe mwezi mmoja halafu uje hapa kutuambia kati ya yeye na Mbowe nani kapunguaNimekaona kamepungua mwili, uso umejikunja, aibu za wizi wa kura waliofanya sasa nafsi zao zinawasuta.
Tunajua, ni kero kwa BAVICHAkajamaa kanaboa kweli.
ππHako kajibwa ni ka kupiga tu!
Wewe kibabu tulia....kisura kimekomaa utafikiri kikongwe cha kijijin wakati kutwa unakula shushuAcha hasira za kitoto. Habari za kupungua mwili zinahusika vipi?
Acheni hasira ni wananchi ndio walichagua kuiadhibu CHADEMA na sasa imekufa kabisa.Ww kibabu tulia....kisura kimekomaa utafikiri kikongwe cha kijijin wakati kutwa unakula shushu
Kweli lakini walishirikiana na NEC TISS JWTZ na POLISIAcheni hasira ni wananchi ndio walichagua kuiadhibu Chadema na sasa imekufa kabisa.
Unataka kusema NEC, TISS, JWTZ na Polisi waliwashika mikono wananchi ili waichague CCM?Kweli lkn walishirikiana na NEC TISS JWTZ na POLISI
[emoji382]Acha hasira za kitoto. Habari za kupungua mwili zinahusika vipi?
Ile picha ya jamaa anakamuliwa jipu mmeitupa wapi? Ahaaaaa.[emoji382]
Hahah sawa kibabu nafikiri saiz kisura chako km kiajuza kitabadirika na utanenepa...Acheni hasira ni wananchi ndio walichagua kuiadhibu Chadema na sasa imekufa kabisa.