Ahaaaa, hasira za mkizi.Wewe na familia yako ni mafukara wa kutupwa
Polepole sura utadhani chawa kwa mbele 👌🏿🖕🏿Loser [emoji16][emoji23]
Sawa dingiAhaaaa, hasira za mkizi.
Naona umeanza kuzoea maumivu.Nipo hapa nimejaa tele, una lolote boss? Mwaga vitu niko hapa kwa ajili ya hoja yoyote.
Naona umeanza kuzoea maumivu.
Kwa hiyo unamaanisha watu walishika bunduki na kuchukua nchi? Acha uzushi,mimi nilikuambia Chadema inafutika baada ya tar 28, ukawa unabisha.Yapi labda, ingekuwa ni kushindwa kwa maana ya ushindani hapo sawa, sio hayo Mapinduzi ya kijeshi.
Kwa hiyo unamaanisha watu walishika bunduki na kuchukua nchi? Acha uzushi,mimi nilikuambia Chadema inafutika baada ya tar 28, ukawa unabisha.
Wananchi wamepiga kura, ndio wameifuta Cdm. Hoja ya kutokuwa pamoja na watanzania kwenye janga la Covid 19 na hoja ya kuweka betri tatu kwenye tochi ili iwake vizuri imewamaliza kabisa.Ni hivi kila kilichofanyika nimeona na kushudia kwa macho. Kilichokuwa kikifanyika kwa uratibu wa vyombo vya dola. Cdm inaweza kufutwa na vyombo vya dola?
Nakutafuta.Polepole aambiwe watanzania siyo wajinga.
Ni nani kakuambia umsikilize au kumuangalia kama sio umbea? pumbavu kabisa. tumeifuta chadema shenzi nyie. andamaneni basi, au mmekuwa keyboard warriors?Huyu jamaa Hana lolote la kutuaminisha, aache kuongea ongea, tunajua bhana how life goes, alichokifanya JPM Kila moja anajua bhana, kanunua midege, kajenga barabara za mtaa, kajenga majengo ya vituo vya afya bila watendaji kazi, SGR na bwawa la umeme, japo mpaka sasa 80% ya Watanzania hawajanufaika na miradi hii.
Amefanya hayo yote Kwa gharama ya kuminya ajira, kuondoa nyongeza za mishahara, kuongeza wigo wa Kodi Kwa wafanya biashara ndogondogo, kodi za majengo ya makazi, kuminya mazao ya wakulima n.k.
Yeye asubiri tu kama Mungu ataruhusu.
unazingua mkuu, sisi wamachinga hapa kahama mjini tumempa mkuu.. hata wazazi wetu huko vijijini wamempa kura magufuli.. usizungumzie watu wengine jizungumzie wewe tu..Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM labda zezeta tu, kilichofanyika ni CCM kupewa uteuzi kusaidiwa kuipora haki ya wapiga kura na NEC , Wakurugenzi na Polisi
Mkuu hujui jinsi ccm walivyoiba kura?[emoji848][emoji848][emoji848]Unataka kusema NEC, TISS, JWTZ na Polisi waliwashika mikono wananchi ili waichague CCM?
Nakataa mkuu, hakuna mtu timamu anaweza mchagua Jiwe, labda dada wa kazi na watu wasiyojielewaunazingua mkuu, sisi wamachinga hapa kahama mjini tumempa mkuu.. hata wazazi wetu huko vijijini wamempa kura magufuli.. usizungumzie watu wengine jizungumzie wewe tu..
sawa mkuu wewe upo huru na fikra zako ila kiuhalisia ni hivyo mkuu.. siwezi kuzungumzia kura za wabunge ila kwenye uraisi naamin katika kupita kwa magufuli.. nlikua simuelewi kabisa ila nlianza kumuelewa kipindi cha corona.Nakataa mkuu, hakuna mtu timamu anaweza mchagua Jiwe, labda dada wa kazi na watu wasiyojielewa
Una haki pia ya kutoa maoni yako na kichagua upande uutakao, lakini mkuu kuchagua upande wa Jiwe ni kuchagua upande wa shetani/Ibirisi japo neno langu siyo sheria. Huyu jamaa ameiharibu sana nchi yetusawa mkuu wewe upo huru na fikra zako ila kiuhalisia ni hivyo mkuu.. siwezi kuzungumzia kura za wabunge ila kwenye uraisi naamin katika kupita kwa magufuli.. nlikua simuelewi kabisa ila nlianza kumuelewa kipindi cha corona.
Juzi usiku Ile big ajenda ilikusanya watu hadi mwenye genge akafunga Bila kuwataarifu wateja wake,kwamba bwawa ni kufa na kupona Pole pole ni hazina ya thamani kubwa,halafu wahuni wacheleweshe kwa sababu yakichekechea ya winchi hilo halikubaliki tunataka umeme tena wa bei ndogo.Polepole ni slow thinker. Nadhani haelewi ni kwa namna gani Watanzania wengi, hakuna mwenye haja ya kumsikiliza.
Ni low IQ lakini anaamini kuwa ana akili.