Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
-
- #161
Kazi ziko wapi? Mafundi ujenzi wanatafuta kazi kwa tochi. Mama ntilie mitaji inakatika vyakula vinachacha,wanaofungua magenge nyanya na vitunguu vinaoza. Hali ya kiuchumi ni mbaya sana.Nikupe pole kama kweli wewe na familia yako (kama unayo) mnashindia mihogo. Mnashindia mihogo kwa sababu ya uvivu wenu kiakili kwani imeandikwa kwenye Kitabu Kitakatifu 2 Wathesalonike 3:10 Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula.
Si alikuwa wanakimbia bungeni.Baada ya makamanda kuonyeshwa "dokumenti" za bunge zinazohusu kupitishwa kwa bajeti za ujenzi wa Chato international airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere nk sasa mmeamia kwenye "hela mfukoni" hahaha
Mpishi mzuri anauzaKazi ziko wapi? Mafundi ujenzi wanatafuta kazi kwa tochi. Mama ntilie mitaji inakatika vyakula vinachacha,wanaofungua magenge nyanya na vitunguu vinaoza. Hali ya kiuchumi ni mbaya sana.
Fursa gani kama hizi?Maisha yako yamekuwa maguu kwa sababu umegubikwa na mawazo mgando ya kuchangua Sacos badala ya kujikwamua wewe mwenyewe kwenye maisha yako. Fursa zipo nyingi sana chini ya Jemedari JPM.
Utauzia watu purchasing power imeshuka. Hivi huwa mnatembelea hata migahawa?Mpishi mzuri anauza
Hayo mambo moto moto uyafanye ukiwa umemuaga mkeo na watoto uingie front line. Usije ukafanya ushuzi online na mabiti ya kiwaki.
Zipo kwa wateule pekee,mbona CCM kindakindaki huku mitaani nao wanabangaiza na kulumangia Nguru?Maisha yako yamekuwa maguu kwa sababu umegubikwa na mawazo mgando ya kuchangua Sacos badala ya kujikwamua wewe mwenyewe kwenye maisha yako. Fursa zipo nyingi sana chini ya Jemedari JPM.
Unatakiwa uende mirembe ukatibiwe,kama watu kujaa show ya Zuchu ndio kipimo cha maisha bora ya wananchi.Show ya ya Kofii ticket laki tano na ziliisha na bado watu wakakosa ticketi.show ya Zuchu pia ni hivyohivyo na walioingia wengi ni watu wahali za kawaida kabisa.
Kusema hali ya maisha ni ngumu labda kama ni mvivu wa kusaka noti.
Kila weekend watu wanajirusha kila baa inajaa.
hii mada yako ni ya kisiasa sio ya uhalisia wa mambo jinsi yalivyo.
Wabongo kila leo wananunua magari ya kutembelea tu sio ya biashara,inamaana watu wanahela.
Biashara gani zimefungwa? Si ukute unazungumzia biashara za gongo na kutakatisha fedha.
Nadhani kinachohitajika ni kubalance haya mambo kati ya maendeleo na maisha ya watu. Wote tunahitaji na tunapenda maendeleo. Lissu alivyokuwa anafanya kampeni yake kule mbeya kuna kisehemu cha barabara ya vumbi alipita na akawa analalamika kwanini barabara ni mbaya hivi? Mh. Polepole jaribu kuangalia the way how to balance these two issues ili malalamiko kutoka kwa wananchi yasiwe mengi. E.g Local suppliers wakilipwa marakwamara na serikali, purchasing power ndani ya jamii ya kitanzania itakuwepo na watu tutaona unafuu wa maisha na pia ukiwa unauza hata biashara ndogondogo wanunuzi watakuja.Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.
Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?
Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.
Local supplier gani anapewa tenda sasa hivi? Kila kitu kinafanyika kwa forced account.Nadhani kinachohitajika ni kubalance haya mambo kati ya maendeleo na maisha ya watu. Wote tunahitaji na tunapenda maendeleo. Lissu alivyokuwa anafanya kampeni yake kule mbeya kuna kisehemu cha barabara ya vumbi alipita na akawa analalamika kwanini barabara ni mbaya hivi? Mh. Polepole jaribu kuangalia the way how to balance these two issues ili malalamiko kutoka kwa wananchi yasiwe mengi. E.g Local suppliers wakilipwa marakwamara na serikali, purchasing power ndani ya jamii ya kitanzania itakuwepo na watu tutaona unafuu wa maisha na pia ukiwa unauza hata biashara ndogondogo wanunuzi watakuja.
Stigilous Gorge hope itaanza kurudisha ikiisha hope 2 years time ahead.pesa imesinyaa lakini siyo kwa kiasi tunachoaminishwa,fedha ipo na watu wanatumia fedha,na hata hela iliyotumika yote ipo kwenye miradi mikubwa ambayo mingi ishaaanza kurudisha fedha na mingine soon itaanza kutoa fedha katika kipindi kifupi kama Air tanzania,stiglor gorge n.k
Sasa ndo mjibu hoja za Lissu kwa kuweka hizo nyarakahapana mkuu dokument zipo mkuu ni wewew tu kuomba na utapewa maana ni haki yako kikatiba!
Vioja! Kuna maisha artificial na maisha halisi!Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?
Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa.
Subirini wiki mbili za mwisho wa October, PANDORA BOX litafunguliwa lenye nyeti za mgombea wengi watu lazima wajue INTEGRITY ya boss wenu siyo kuongopea anataka kuwa rais wakati makando kando kibao. Hiyo inaitwa niguse NINUKEUnazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.
Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?
Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.
Hivi ndivyo tathmini ya nchi inavyofanyika? safari yako bado ni ndefu mnoo pengine kama ya kwangu.Show ya ya Kofii ticket laki tano na ziliisha na bado watu wakakosa ticketi.show ya Zuchu pia ni hivyohivyo na walioingia wengi ni watu wahali za kawaida kabisa.
Kusema hali ya maisha ni ngumu labda kama ni mvivu wa kusaka noti.
Kila weekend watu wanajirusha kila baa inajaa.
hii mada yako ni ya kisiasa sio ya uhalisia wa mambo jinsi yalivyo.
Wabongo kila leo wananunua magari ya kutembelea tu sio ya biashara,inamaana watu wanahela.
Unauwakika gani? au unapiga ramli chonganishiNamaanisha kwenu hakuna asili ya kufanya biashara.kwahiyo hapa hata ukiambiwa biashara ngumu hutaelewa.
Umepost nini sasa?Vioja! Kuna maisha artificial na maisha halisi!