Polepole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu

Wewe ni mmoja wa watu wanaoishi na hisia kali za chuki.

Pokepole, katika mafunzo yake hajapata kukosoa au kushadidia siasa zinaoendelea na kuendeshwa nchini.

Polepole anatoa mafunzo ya Elimu ya Sayansi ya Jamii, Siasa na Uchumi na Uongozi kwa ujumla.
 
Hujamwelewa Polepole ndomana unamjibu kihisia, hii inaonesha dhahili ulivyo na mapenzi na watu furani. Pengine unamasilahi na watu hao wachache ama huelewi maana ya parallel state umekurupushwa, nenda kajifunze tena utapata majibu kuna watu wapo nyuma ya stage wanaongoza hii nchi na sio mama samia.
Kitabu usichoandikiwa wewe huezi elewa maana yake.
Parallel state ipo.
 
Huyu nae toka atolewe kwenye vietel anaweweseka Sana,sasa sijui alijua enzi huwa zinadumu Milele..

Haka kajamaa kana hulka za udikteta sijui hakana Kazi za kufanya..
 

mkuu mpaka ukamsikiliza kabisa lecture yote ile????

lazima una ombwe la kutojiamini!! kwa nn hauku mu ignore?


angalia comments za watu youtube zake, utaona kuna mahali hakuna anayejua au kuwaza kama wewe...




mkuu makonda anapiga hela na famasi zake, Polepole unamjua baada ya JPM haujui hata kazi yake before!

inachukua maamuzi ya kiume, magumu kuwa au kufanya kama polepole hata kama aliwahi kumesup


sasa wewe ambaye hauna Id hauna address, low life unasemaje?
 
Mwenzio yupo jikoni wewe unaebisha uko Tandahimba unalima korosho.
Labda useme yuko kwenye stoo ya mkaa huko, ndiyo maana kila siku kelele nyingiii akilakamikia vumbi la mkaa huku wenzake akina Marope Jr wakielekea sebuleni kwenye bufeee [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Cha kushangaza CDM hawahawa walioteswa na mkono wa Polepole leo wanamshabikia, TZ hamna upinzani ni ujinga mtupu
 
Ni kwanini atoe hayo mafunzo wakati huu na si wakati hule?
 
My friend Karma is a real bitch. Wacha wapambane na hii hali yawezekana we needed people like them ili na wengine wajifunze.
Kweli kabisa. Na inawatafuna woote waliowezesha ushetani wa jiwe.
 
Nikimsikiliza Polepole wala sion kama kuna mtu kamshambulia ye anaendana na somo lake, Historia ya kweli yq nchu mbalimbali nass tuwe macho kuepukana na vitu hivo! Chaajabu watu mnaibuka kumpinga as if kuna mtu anamtaja kwenye somo lake.

Ngoja tupigwe kwanza ndipo tutamuelewa!
 
Mwenzio yupo jikoni wewe unaebisha uko Tandahimba unalima korosho.
Kuwa tandahimba ni kosa!? Kulima korosho ni kosa wewe endelea cheza draft hapo mwannyamala?!
 
Thank you, proud of kuliko hiko anachokifanya huyo fa.la pole pole
Nakubaliana nawewe THE BIG SHOW hili genge la polepole enzi za magufuli ndio lilikuwa Sheria ndio waliamuwa Nani afe Nani aishi leo mpumbavu huyu amepigwa kumbo kwenye keki ya taifa anajidai anaanzisha shule ya unafiki mtupu. Na bado mabaya yanakuja juu yake. Ajiulize mbona mwenzake bashiru ameamuwa kuplay low profile?

Pole pole akumbuke majina haya enzi zao za viieiteee.

Humphrey Polepole
Bashiru A. Kakurwa
Sipriani musiba
Paul Makonda
Lengai ole Sabaya
Ali Happy

Polepole unakumbuka hii team?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…