Polepole alikuwa wapi kukemea NEC ilipowakata kina Kiwanga kugombea ubunge?

Polepole alikuwa wapi kukemea NEC ilipowakata kina Kiwanga kugombea ubunge?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Twende kwenye hoja moja kwa moja.
Chadema iliwapa fursa wanawake takribani 60 kugombea kwenye majimbo mbalimbali. Miongoni mwao walikatwa kikatili na bila sababu na tume ya Taifa na kunyimwa fursa ya kugombea. Miongoni mwao ni waliokuwa wabunge Suzan Kiwanga na Lucy Owenya. Tena basi kabla ya hapo kuna kundi kubwa la wanawake waliondolea kugombea baadaye wakapambana wakarudi.

Katika muktadha wa kuheshimu nafasi wanazopewa wanawake,Humprey Polepole alikuwa wapi kukemea ukatili huu dhidi ya wanawake? Wako wanawake waliodhalilishwa sana wakati wa uchaguzi kwa kupigwa na kutukanwa na wagombea wa chama chake. Humprey alikuwa wapi kukemea uzandiki huu ndani ya chama chake.

Tunajua hili mna maslahi nalo,lakini ushauri wa bure basi jitahidini kutumia vizuri busara na akili. Mnaidhalilisha sana nchi na kutufanya wote tuliomo tuonekane maboya,kumbe ni kikundi kidogo tu cha watu.
 
Twende kwenye hoja moja kwa moja.
Chadema iliwapa fursa wanawake takribani 60 kugombea kwenye majimbo mbalimbali. Miongoni mwao walikatwa kikatili na bila sababu na tume ya Taifa na kunyimwa fursa ya kugombea. Miongoni mwao ni waliokuwa wabunge Suzan Kiwanga na Lucy Owenya. Tena basi kabla ya hapo kuna kundi kubwa la wanawake waliondolea kugombea baadaye wakapambana wakarudi.

Katika muktadha wa kuheshimu nafasi wanazopewa wanawake,Humprey Polepole alikuwa wapi kukemea ukatili huu dhidi ya wanawake? Wako wanawake waliodhalilishwa sana wakati wa uchaguzi kwa kupigwa na kutukanwa na wagombea wa chama chake. Humprey alikuwa wapi kukemea uzandiki huu ndani ya chama chake.

Tunajua hili mna maslahi nalo,lakini ushauri wa bure basi jitahidini kutumia vizuri busara na akili. Mnaidhalilisha sana nchi na kutufanya wote tuliomo tuonekane maboya,kumbe ni kikundi kidogo tu cha watu.
Pole ya jana Yanga hoyee
 
Mfano mzuri tu ni hapo kawe, huyo Polepole na kina Paskali Njaa walishiriki vyema kuingiza kura bandia ili kumfitini Halima Mdee ambaye leo huko CCM wanamuona ni mtu wa maana sana hata baada ya kukiuka kanuni za wazi kabisa.
 
na kagoli kake ka wasiwasi?
Wewe una mikosi, ulisababisha chadema kuanguka kwa kushabikia Tundu Lissu na sasa leo simba itapata cha moto. Masuala ya mdee and co yawache maana hao ni wabunge halali na watalindwa na spika
 
Poleni watanzania tuna tatizo kubwa.
Halima kaa kimya usijidhalilishe zaidi. Bado tunakupenda ila mtoto hata akipendwa vipi akikosea lazima aadhibiwe!!!!

usidanganywe na hao waovu!
 
Back
Top Bottom