Watanzania kila siku nasema ni watu wa hovyo sana... vichwa maji...
nazani kama mmemsikia waziri wa ulinzi kuhusu mkakati wanao andaa kumaliza tatizo lililopo kati ya tanzania na malawi ungeelewa zaidi
kwanini usiweke taarifa za mpaka wa tanzania na malawi kuwa tofauti na ilivyokuwa huko nyuma, kwanini usiulize kuhusu ziwa nyasa kuitwa ziwa malawi hivi sasa?
sasa serikali ina sema wapo katika kulitatua haya kidiplomasia... swala kwa nini yupo dodoma au tanzania lina kuchanganya...
lakini juzi balozi possi alikuwepo hapa tanzania, na dr. slaa alikuwa ana kuja mara kwa mara na alikuwa ana alikwa ktk vyombo vya habari, haya hayakuwa na maana sababu hamuelewi au hatuelewi mabalozi shughuli zao na uwajibikaji wao... na mengine mengi