Mbona wengi tu wamekataa chanjo huko UK? Kwa nini watu wanapenda kutishana sana?Itaanza kwa hiyari. Baada ya wiki chache itakuwa lazima.
View attachment 1874144
View attachment 1874145
Kwa jinsi wanavyobanwa wataipokea soon. Wakianza kuuza na kununua.. ujanja mfukoniMbona wengi tu wamekataa chanjo huko UK? Kwa nini watu wanapenda kutishana sana?
Majuto yapi mtaalam. in scientific manner tuelezee hayo majuto?Ni hiyari itakayoleta majuto baadaye
Huko ni ulaya si africa. two different worlds. isitoshe wenzetu wameshachanja 90%.. so ni mshangao wakikutana na mtu ambae hajachanjaItaanza kwa hiyari. Baada ya wiki chache itakuwa lazima.
View attachment 1874144
View attachment 1874145
Slowslow atachanja ni grasshopperTangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.
Chanjo zimekuja 1m na watanzania upo 60milHuko ni ulaya si africa. two different worlds. isitoshe wenzetu wameshachanja 90%.. so ni mshangao wakikutana na mtu ambae hajachanja
ππππππKwanza niwashukuru kwamchango wenu mkubwa katika awamu iliyopita katika kutokomeza kabisa Corona, Ilifika mahali Corona ilikosa kiki Tanzania, mpaka wazungu wakaanza kuja kushangaa ni mbinu gani ilitumika.
Tangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.
Najua ni hiyari, lakini nivema tukajua mtaitumia hiari yenu kuchanja au kuto chanja?
Nawatakia Ijumaa njema na maandalizi mema ya Sabato kwa ndugu zangu Wasabato.
Huyu ndie Gwaji mwenyewe,au Gwaji jina.Kwanza niwashukuru kwamchango wenu mkubwa katika awamu iliyopita katika kutokomeza kabisa Corona, Ilifika mahali Corona ilikosa kiki Tanzania, mpaka wazungu wakaanza kuja kushangaa ni mbinu gani ilitumika.
Tangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.
Najua ni hiyari, lakini nivema tukajua mtaitumia hiari yenu kuchanja au kuto chanja?
Nawatakia Ijumaa njema na maandalizi mema ya Sabato kwa ndugu zangu Wasabato.
serikal haijanunua imepewa bureChanjo zimekuja 1m na watanzania upo 60mil
Kuchanjwa ni hiyari bwashee!