GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
" Rais Magufuli hajawahi kwenda Ulaya wala Marekani hiyo shobo hana, wengine wanapenda kupanda ndege yeye anapita kwenye barabara hizi hizi ndiyo maana watu masikini ni mtu wao kwa sababu anafahamu changamoto zao " Humphrey Polepole
EastAfricaRadio
Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.
EastAfricaRadio
Mimi ni mwana CCM Mwenzako na wala sifichi / sijifichi na namkubali mno Rais Dkt. Magufuli ila ' ninakereka ' mno na Ujengaji wa Hoja Ukiongea.