Polepole: Magereza ni wazalishaji na tuliwaunga mkono ili wapandishe bendera za CCM mitaani na risiti ya malipo tunayo

Na polic kupanga viti ukumbini Kisha kulinda bendera za chama usiku, tunataka wakapange viti ofisi za Chadema na usiku walinde bendera za Chadema, maana wao wao ndo huzishusha
 
Vipi na vyama vingine wanaruhusiwa kuwachukua? Tatizo LA ccm Ni wabaguzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…