Polepole: Maoni ya Katiba Mpya yafanyiwa majaribio

Jina lenyewe Polepole na mtu pia ni Polepole hata Katiba itakuja Polepole kwa kupitia maoni Polepole
 
Acha kwanza Rais angoe mafisadi katiba mpya Nyumbu wamekosa issue
 
Huyu Harakaharaka nae kapotea zaidi ya Yule Wa Goli la Mkono.
 
idaw post: 19159165 said:
Naona hiyo nafasi ili ikufiti lazima ujitoe ufahamu kidogo, alieondoka na aliyeingia hakuna tofauti.!
Pingeni hoja yake kwa hoja msipinge hoja yake kwa viroja!!
 
Watanzania piganieni tume huru ya uchaguzi..hizi zingne sarakasi tu. Nchi hii mambo yanavyoenda ni mungu ndo anajua tu. Ccm na Magufuli hawaeleweki wanataka nini, nchi priorities km mia Mara kuhamia Dodoma, Mara majipu. Wananchi tunataka maisha mazuri..mnaharibu uchumi mnaleta swaga tunajenga Nchi..unajenga kwa kuharibu uchumi.
Bad enough hata wapinzani hawajui wanapinga nn na wanakosoa nn. Nyie wapinzani mngekaa Uganda sidhani km kuna MTU angekuwa hata mmoja bungeni. Naona baada ya bosi wenu mbowe kutekenywa kwenye biashara amekuwa kimya.
 
Shenzi kabisa huyu, unaweza kutwambia hii nchi imepinda upande gani? Na je atainyoosha kwa kutumia nyundo au mikono?
 
Kwa hakika siamini kama kweli maneno hayo kaongea kaka yangu Polepole. Yaani siamini kabisa.
Ndio yeye Polepole. Aliyekuwa anahanikiza kwa nguvu zooote Katiba ya Warioba. Sasa anaonyesha rangi nyingine iliyokuwa huifahamu.
 
Shenzi kabisa huyu, unaweza kutwambia hii nchi imepinda upande gani? Na je atainyoosha kwa kutumia nyundo au mikono?
Hata yeye anatusadikisha kwamba kulikuwa na upindishaji. Wangetuambia ni eneo gani lilipinda
 
Hahah kajamaa kanaongea kama kamekatika kichwa, hahaha, njaa jamani mmhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…