Polepole na Gwajima wanaviburi sababu wanajua ata CCM wakiwavua uanachama Spika hatawanyanganya ubunge Kama Akina Mdee.

Polepole na Gwajima wanaviburi sababu wanajua ata CCM wakiwavua uanachama Spika hatawanyanganya ubunge Kama Akina Mdee.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Swala la Gwajima NI wazi kuwa CCM hawana la kufanya zaidi ya kuwatisha tu. Kwani wakiwavua uanachama wataamsha hoja ya akina mdee.

Acha Wawavimbie tu
 
Na wewe unavyohangaika leo hata hujishtukii watu hawashobokei nyuzi zako. Chutama best nyeti ziko peupe.
 
Huyo ndugai kwani anajali Hilo huwa anajua kujitoa ufahamu, atawafukuza tu akiamua, yule dingi Ana jalada mirembe
 
Swala la Gwajima NI wazi kuwa CCM hawana la kufanya zaidi ya kuwatisha tu. Kwani wakiwavua uanachama wataamsha hoja ya akina mdee.

Acha Wawavimbie tu
Ndani ya CCM hakuna mwenye ubavu wa kumkoromea mwenzake. Wote wapo kiharamu. Mwiaho wa siku wote wanaamua kuacha yaishe😅😅
 
Nyuzi ya kindezi sana hii ,utakuwa "KE" wewe
Nyuzi iko poa. Ndani ya ccm hakuna mwenye uwezo wa kusema "Su' kwa mwenzake maana hakuna aliyeko hapo kihalali.

Mwisho wa siku huyo Ndugai ataufyata tu.
 
Back
Top Bottom