Polepole Sasa anatembea kwa kujificha sura, anavaa makofia makubwa na masweta ya P.O.P, anaogopa kuzomewa?

Polepole Sasa anatembea kwa kujificha sura, anavaa makofia makubwa na masweta ya P.O.P, anaogopa kuzomewa?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Bora uachie madaraka ukiwa umetenda mema, unakuwa huru kabisa, ukiwa muovu unakuwa na hofu,unajificha
20211228_183058.jpg
 
Sasa hii si selfie ya kawaida kabisa kaamua kujipiga.
Wapi hapo alipovaa masweta na makofia makubwa..Nyie ndy huwa mnaandika Kule utube 'CHATU AMEZA TRENI NA ABIRIA WAKE NDANI'.Fungua sasa uangalie jinsi TRENI ilivyomezwa,ushubwada mtupu
 
Pigo zake hizo na ni kawaida bado hukamkuta kavaa makofia yale ya arusha na makoti mazito hata ukipishana nae unaweza usimtambue.

Huyu mleta mada kakurupuka kuanzisha uzi..
Yote ni ubatili mtupu, asema mfalme Suleiman.
 
Tisa kumi mkubali anawapelekea moto kwelikweli..
Labda nyie wanafunzi wake wa shule ya uongozi hapo Lumumba ndo mnaona huo moto. Short of that huyo mzee wenu ni mwepesi kama bua.
 
Back
Top Bottom