Polepole utakuwa umechanganyikiwa

Polepole utakuwa umechanganyikiwa

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
image.jpg

Hivi huyu dogo anaona sisi vilaza hatuelewi kuchambua au hizo hapo haki za wazee hebu tuzifananishe na hiyo yake anayoisema haikuwepo....mbaya zaidi unamtolea mfano bibi yako mbn unamdhalilisha wewe tena kikubwa taifa ibara ya 58 kifungu cha mwisho kabisa taifa limejicommit kuwatetea wazeee sheeenzi watanzania sio wapuuzi...we dogo kabila gan wewe
 
View attachment 238451

Hivi huyu dogo anaona sisi vilaza hatuelewi kuchambua au hizo hapo haki za wazee hebu tuzifananishe na hiyo yake anayoisema haikuwepo....mbaya zaidi unamtolea mfano bibi yako mbn unamdhalilisha wewe tena kikubwa taifa ibara ya 58 kifungu cha mwisho kabisa taifa limejicommit kuwatetea wazeee sheeenzi watanzania sio wapuuzi...we dogo kabila gan wewe
Kifungu kinasema kupata mahitaji ya msingi kutoka kwenye familia yake, jamii na inapobidi mamlaka ya nchi. ​Hiyo commitment ya taifa iko wapi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katiba inayopendekezwa ni mshipa ambao amini usiamini lazima italitumbikiza taifa kwenye majanga.
 
View attachment 238451

Hivi huyu dogo anaona sisi vilaza hatuelewi kuchambua au hizo hapo haki za wazee hebu tuzifananishe na hiyo yake anayoisema haikuwepo....mbaya zaidi unamtolea mfano bibi yako mbn unamdhalilisha wewe tena kikubwa taifa ibara ya 58 kifungu cha mwisho kabisa taifa limejicommit kuwatetea wazeee sheeenzi watanzania sio wapuuzi...we dogo kabila gan wewe

ni kweli watanzania sio wapuuzi ila wewe ni mpuuzi. unatetea ujinga
 
polepole ni mwanaharakati aliyejaliwa uwezo wa kutoa hoja hadi ukawa convinced kabisa, hata kama hoja ni ya kupikwa. bahati mbaya sana sijajua kabila lake, lakini ni mwanadamu anayependa sana sifa na kuonekana mbele za watu, ni mtu ambaye anajua hakuna mwenye uwezo au akili zaidi yake na anapoongea huwa anajiona yeye kama ndio final reference hapa duniani. kiburi hiki ndio huwa kinanifanya nibadilishe stesheni ya tv akiwa anaongea, anakera sana sana kumsikiliza.

nakumbuka kuna mdahalo mmoja ulishawahi kufanyika nkruma udsm wakawa wamemsahau kuwa msemaji wa mwanzoni na mwezie yule wa zenji, walipompa mike mwishoni alitaka kugoma asiendelee akatoa malalamiko kuwa amesahauliwa manake amekuja kupewa mwishoni wakati ambao hataongea mda mrefu na watu wakamwona kwenye tv. kijamaa kinakera sana sana.
 
Mleta hoja matako

AKILI YAKO YA KUFIKIRI IMEFIKIA HAPO NADHANI MANENO NA EVIDENCE ALIKUPA HAPO JUU VYOTE VIMEKUUMA NDO MAANA UMEAMUA KUWEKA TUC, WEWE LAZIMA UTAKUWA NI MVUTA BANGI MAARUFU, WATU KAMA NYIE HUMU NDNI HAMTAKIWI KWA MAANA MNADHANI KUTUKANA WATU WENGINE HAWAWEZI, KHAAA WE CRAZY TUU BADALA YA KUJIBU KWA HOJA WE UNAKIMBILIA KUWEKA TUC, KAMA IMEKUUMA KUNYWA SUMU UFEEE. Message sent!!
 
polepole ni mwanaharakati aliyejaliwa uwezo wa kutoa hoja hadi ukawa convinced kabisa, hata kama hoja ni ya kupikwa. bahati mbaya sana sijajua kabila lake, lakini ni mwanadamu anayependa sana sifa na kuonekana mbele za watu, ni mtu ambaye anajua hakuna mwenye uwezo au akili zaidi yake na anapoongea huwa anajiona yeye kama ndio final reference hapa duniani. kiburi hiki ndio huwa kinanifanya nibadilishe stesheni ya tv akiwa anaongea, anakera sana sana kumsikiliza.

nakumbuka kuna mdahalo mmoja ulishawahi kufanyika nkruma udsm wakawa wamemsahau kuwa msemaji wa mwanzoni na mwezie yule wa zenji, walipompa mike mwishoni alitaka kugoma asiendelee akatoa malalamiko kuwa amesahauliwa manake amekuja kupewa mwishoni wakati ambao hataongea mda mrefu na watu wakamwona kwenye tv. kijamaa kinakera sana sana.

YULE NI KIBARAKA TUU WALA USIMSHANGAE NA NI MCHUMIATUMBO TUU KWANI WE HUJAMJUA?? NI LIJITU MOJA LENYE KUPENDA SIFA NA KUWADHARAU WENZIE, HAFAI KABISAA HATA MIMI SILIPENDI HILO LIJITU. Khaa
 
ni kweli watanzania sio wapuuzi ila wewe ni mpuuzi. unatetea ujinga

HUKO NDO KUISHIWA HOJA KWENYEWE TUNAKOZUNGUMZIA, BADALA YA KUJIBU KWA HOJA WEWE UNAWEKA TUC, INAONEKANA NDO AKILI YAKO YA KIBANGI BANGI HIYO ULO NAYO, WATU KAMA NYIE KAMWE HAMTU KUJA KUELIMIKA KAMWE MPAKA ATAKAPOKUJA YESU MARA YA PILI, NA NDO WALE WALE MNAODHURURA MITAANI KUIKEJELI KATIBA NA KULAZIMISHA WATU WAICHUKIE WAKATI HATA KUISOMA HAMJAISOMA. Elimika wewe usiwe mvuta bangi humu. kama kuvuta bangi nenda kavute na wenzio huko kwenu.
 
Kifungu kinasema kupata mahitaji ya msingi kutoka kwenye familia yake, jamii na inapobidi mamlaka ya nchi. ​Hiyo commitment ya taifa iko wapi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katiba inayopendekezwa ni mshipa ambao amini usiamini lazima italitumbikiza taifa kwenye majanga.

WEWE BHANA USIPENDE KUSOMA NUSU NUSU, SOMA IBARA YOTE UIELEWE USIBISHE BISHE TUU ILIMRADI UONEKANE UNAJUA KUONGEA HUMU NDANI, KITU GANI HAKIPO SAWA HAPO??
angalia hizo haki za wazee chini hapo kwa umakini ili uelewe...

View attachment 238500
 
Hatujawahi kukuona ukiongea wala kutetea hoja yoyote yenye tija kitaifa ili tupime uwezo wako in comparison na hamphrey polepole.
Ukiwa na hoja pinzani na yeye tafuta fursa na wewe ili utushawishi tuone uzuri wako mkuu. Natumai nitakuwa nimesomeka.
 
Hatujawahi kukuona ukiongea wala kutetea hoja yoyote yenye tija kitaifa ili tupime uwezo wako in comparison na hamphrey polepole.
Ukiwa na hoja pinzani na yeye tafuta fursa na wewe ili utushawishi tuone uzuri wako mkuu. Natumai nitakuwa nimesomeka.

WEWE NDO WALE WALE MLIOTUMWA NA HUYO HUMPHREY HARAKA HARAKA, MAANA UNAMTETEA AS IF WE KIBARAKA WAKE KWAKE, KWANI YALIYOSEMWA YANA UONGO? ANAPENDA SIFA KILA SEHEMU AONEKANE ANAJUA KUONGEA KUMBE LIJITU ZEROOO TUU, WATU HAWAMPENDI MCHUMIA TUMBO TU YULE HANA LOLOTE!! Khaaa
 
Kifungu kinasema kupata mahitaji ya msingi kutoka kwenye familia yake, jamii na inapobidi mamlaka ya nchi. ​Hiyo commitment ya taifa iko wapi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katiba inayopendekezwa ni mshipa ambao amini usiamini lazima italitumbikiza taifa kwenye majanga.
kwahiy unaona hiyo hoja alioitoa polepole ina mashiko....hivi heshima pekee bila kupata mahitaji ya msingi...hivi heshima pekee bila kupata huduma ya matibabu bureeee....hivi heshima pekee bila kupata nafuu ya usafiri wa umaa.....hivii heshima pekee bila kupata......ulinzi dhidi ya unyanyasaji....hivi polepole una akili kweli kihoja chako hata cjakielewa.....bibi yangu mimi kijijin ndivyo vitu anavihitaji sio hilo ulosema wewe....hayo mengine ni kulingana na jamii ulololelewa...inaelekea umelelewa kwenye jamii isiyoheshimu utu wa mzee ndio maana ulidiriki kumtolea mfano bibi ako hasa ukiwa huna ulichokisema na kuwaita watu wapumbavu tena wakuu wako wa nchi ukiwa onair kwahy hatutegemei kukuona ukiwaheshimu wazee ndio maana unang'ang'ania hilo ila sisi hayo ndiyo tunayoyahitaji mengine ya respect kwa wazee ndivyo tulivyolelewa hivyo it's obvious....ASANTE POLEPOLE KWA KUDHIHIRISHA UWEZO WAKO MDOGO WA KUJENGA HOJA ZAIDI YA BLABLA
 
Ni heri mjinga anayejaribu kutumia ujinga wake mbele ya wenye akili kuliko wenye akili ambao akili zao wamezikalia na kisha kuanza kimlalamikia mjinga kwa ujinga wake.
 
Ni heri mjinga anayejaribu kutumia ujinga wake mbele ya wenye akili kuliko wenye akili ambao akili zao wamezikalia na kisha kuanza kimlalamikia mjinga kwa ujinga wake.

KAMA WEWE VILE!! ETI ENEEEENHH!! POLE SANA MANENO YAMEKUKAA VEMA KICHWANI!! Message sent
 
polepole ni mwanaharakati aliyejaliwa uwezo wa kutoa hoja hadi ukawa convinced kabisa, hata kama hoja ni ya kupikwa. bahati mbaya sana sijajua kabila lake, lakini ni mwanadamu anayependa sana sifa na kuonekana mbele za watu, ni mtu ambaye anajua hakuna mwenye uwezo au akili zaidi yake na anapoongea huwa anajiona yeye kama ndio final reference hapa duniani. kiburi hiki ndio huwa kinanifanya nibadilishe stesheni ya tv akiwa anaongea, anakera sana sana kumsikiliza.

nakumbuka kuna mdahalo mmoja ulishawahi kufanyika nkruma udsm wakawa wamemsahau kuwa msemaji wa mwanzoni na mwezie yule wa zenji, walipompa mike mwishoni alitaka kugoma asiendelee akatoa malalamiko kuwa amesahauliwa manake amekuja kupewa mwishoni wakati ambao hataongea mda mrefu na watu wakamwona kwenye tv. kijamaa kinakera sana sana.

Wewe ndio pumbavu kabisa mzungu wa reli.
Badala ya kujadili hoja unamjadili mtu binafsi......kiazi kweli wewe. Thibitisha hayo makidai yake ya kujiona unayosema. kenge kabisa mhxiiiiiii
 
Wewe ndio pumbavu kabisa mzungu wa reli.
Badala ya kujadili hoja unamjadili mtu binafsi......kiazi kweli wewe. Thibitisha hayo makidai yake ya kujiona unayosema. kenge kabisa mhxiiiiiii

PUNGUZA JAZBA HATA WEWE UNAWEZA KUWEKA MADA YAKO WATU WAKAJAAA KUKUJIBU HOJA, ACHA DHARAU HAPA HATUPO KUSHINDANA, TUNAELIMISHANA KUWA NA SUBIRA NA PUNGUZA MATUC. Khaaaa
 
Back
Top Bottom