Kifungu kinasema kupata mahitaji ya msingi kutoka kwenye familia yake, jamii na inapobidi mamlaka ya nchi. ​Hiyo commitment ya taifa iko wapi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katiba inayopendekezwa ni mshipa ambao amini usiamini lazima italitumbikiza taifa kwenye majanga.View attachment 238451
Hivi huyu dogo anaona sisi vilaza hatuelewi kuchambua au hizo hapo haki za wazee hebu tuzifananishe na hiyo yake anayoisema haikuwepo....mbaya zaidi unamtolea mfano bibi yako mbn unamdhalilisha wewe tena kikubwa taifa ibara ya 58 kifungu cha mwisho kabisa taifa limejicommit kuwatetea wazeee sheeenzi watanzania sio wapuuzi...we dogo kabila gan wewe
View attachment 238451
Hivi huyu dogo anaona sisi vilaza hatuelewi kuchambua au hizo hapo haki za wazee hebu tuzifananishe na hiyo yake anayoisema haikuwepo....mbaya zaidi unamtolea mfano bibi yako mbn unamdhalilisha wewe tena kikubwa taifa ibara ya 58 kifungu cha mwisho kabisa taifa limejicommit kuwatetea wazeee sheeenzi watanzania sio wapuuzi...we dogo kabila gan wewe
Mleta hoja matako
polepole ni mwanaharakati aliyejaliwa uwezo wa kutoa hoja hadi ukawa convinced kabisa, hata kama hoja ni ya kupikwa. bahati mbaya sana sijajua kabila lake, lakini ni mwanadamu anayependa sana sifa na kuonekana mbele za watu, ni mtu ambaye anajua hakuna mwenye uwezo au akili zaidi yake na anapoongea huwa anajiona yeye kama ndio final reference hapa duniani. kiburi hiki ndio huwa kinanifanya nibadilishe stesheni ya tv akiwa anaongea, anakera sana sana kumsikiliza.
nakumbuka kuna mdahalo mmoja ulishawahi kufanyika nkruma udsm wakawa wamemsahau kuwa msemaji wa mwanzoni na mwezie yule wa zenji, walipompa mike mwishoni alitaka kugoma asiendelee akatoa malalamiko kuwa amesahauliwa manake amekuja kupewa mwishoni wakati ambao hataongea mda mrefu na watu wakamwona kwenye tv. kijamaa kinakera sana sana.
ni kweli watanzania sio wapuuzi ila wewe ni mpuuzi. unatetea ujinga
USIWE KAMA BENDERA FUATA UPEPO WEWE!! USIKUBALI KUWA KAMA WAVUTA BANGI WENGINE WALIOCOMMENT HAPO MWANZO!! KUWA MZALENDO TETEA NCHI YAKO. Khaaaamnalo hilo mwaka huuu
Kifungu kinasema kupata mahitaji ya msingi kutoka kwenye familia yake, jamii na inapobidi mamlaka ya nchi. ​Hiyo commitment ya taifa iko wapi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katiba inayopendekezwa ni mshipa ambao amini usiamini lazima italitumbikiza taifa kwenye majanga.
Hatujawahi kukuona ukiongea wala kutetea hoja yoyote yenye tija kitaifa ili tupime uwezo wako in comparison na hamphrey polepole.
Ukiwa na hoja pinzani na yeye tafuta fursa na wewe ili utushawishi tuone uzuri wako mkuu. Natumai nitakuwa nimesomeka.
kwahiy unaona hiyo hoja alioitoa polepole ina mashiko....hivi heshima pekee bila kupata mahitaji ya msingi...hivi heshima pekee bila kupata huduma ya matibabu bureeee....hivi heshima pekee bila kupata nafuu ya usafiri wa umaa.....hivii heshima pekee bila kupata......ulinzi dhidi ya unyanyasaji....hivi polepole una akili kweli kihoja chako hata cjakielewa.....bibi yangu mimi kijijin ndivyo vitu anavihitaji sio hilo ulosema wewe....hayo mengine ni kulingana na jamii ulololelewa...inaelekea umelelewa kwenye jamii isiyoheshimu utu wa mzee ndio maana ulidiriki kumtolea mfano bibi ako hasa ukiwa huna ulichokisema na kuwaita watu wapumbavu tena wakuu wako wa nchi ukiwa onair kwahy hatutegemei kukuona ukiwaheshimu wazee ndio maana unang'ang'ania hilo ila sisi hayo ndiyo tunayoyahitaji mengine ya respect kwa wazee ndivyo tulivyolelewa hivyo it's obvious....ASANTE POLEPOLE KWA KUDHIHIRISHA UWEZO WAKO MDOGO WA KUJENGA HOJA ZAIDI YA BLABLAKifungu kinasema kupata mahitaji ya msingi kutoka kwenye familia yake, jamii na inapobidi mamlaka ya nchi. ​Hiyo commitment ya taifa iko wapi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katiba inayopendekezwa ni mshipa ambao amini usiamini lazima italitumbikiza taifa kwenye majanga.
Ni heri mjinga anayejaribu kutumia ujinga wake mbele ya wenye akili kuliko wenye akili ambao akili zao wamezikalia na kisha kuanza kimlalamikia mjinga kwa ujinga wake.
polepole ni mwanaharakati aliyejaliwa uwezo wa kutoa hoja hadi ukawa convinced kabisa, hata kama hoja ni ya kupikwa. bahati mbaya sana sijajua kabila lake, lakini ni mwanadamu anayependa sana sifa na kuonekana mbele za watu, ni mtu ambaye anajua hakuna mwenye uwezo au akili zaidi yake na anapoongea huwa anajiona yeye kama ndio final reference hapa duniani. kiburi hiki ndio huwa kinanifanya nibadilishe stesheni ya tv akiwa anaongea, anakera sana sana kumsikiliza.
nakumbuka kuna mdahalo mmoja ulishawahi kufanyika nkruma udsm wakawa wamemsahau kuwa msemaji wa mwanzoni na mwezie yule wa zenji, walipompa mike mwishoni alitaka kugoma asiendelee akatoa malalamiko kuwa amesahauliwa manake amekuja kupewa mwishoni wakati ambao hataongea mda mrefu na watu wakamwona kwenye tv. kijamaa kinakera sana sana.
hivi huyu ufo_alien ni mchumba wa mtoa mada au?
Wewe ndio pumbavu kabisa mzungu wa reli.
Badala ya kujadili hoja unamjadili mtu binafsi......kiazi kweli wewe. Thibitisha hayo makidai yake ya kujiona unayosema. kenge kabisa mhxiiiiiii