mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
HUKO NDO KUISHIWA HOJA KWENYEWE TUNAKOZUNGUMZIA, BADALA YA KUJIBU KWA HOJA WEWE UNAWEKA TUC, INAONEKANA NDO AKILI YAKO YA KIBANGI BANGI HIYO ULO NAYO, WATU KAMA NYIE KAMWE HAMTU KUJA KUELIMIKA KAMWE MPAKA ATAKAPOKUJA YESU MARA YA PILI, NA NDO WALE WALE MNAODHURURA MITAANI KUIKEJELI KATIBA NA KULAZIMISHA WATU WAICHUKIE WAKATI HATA KUISOMA HAMJAISOMA. Elimika wewe usiwe mvuta bangi humu. kama kuvuta bangi nenda kavute na wenzio huko kwenu.
laiti ungejua haya yote usingesema, any way kamnyonyeshe mtoto analia.
laiti ungejua haya yote usingesema, any way kamnyonyeshe mtoto analia.
Katiba pendekezwa inawachapa wenyewe....wameondoa vipengele vya Warioba...sasa imemchapa WASSIRA kwa kufanywa komedy...kafunga tenge koti lake.
polepole ni mwanaharakati aliyejaliwa uwezo wa kutoa hoja hadi ukawa convinced kabisa, hata kama hoja ni ya kupikwa. bahati mbaya sana sijajua kabila lake, lakini ni mwanadamu anayependa sana sifa na kuonekana mbele za watu, ni mtu ambaye anajua hakuna mwenye uwezo au akili zaidi yake na anapoongea huwa anajiona yeye kama ndio final reference hapa duniani. kiburi hiki ndio huwa kinanifanya nibadilishe stesheni ya tv akiwa anaongea, anakera sana sana kumsikiliza.
nakumbuka kuna mdahalo mmoja ulishawahi kufanyika nkruma udsm wakawa wamemsahau kuwa msemaji wa mwanzoni na mwezie yule wa zenji, walipompa mike mwishoni alitaka kugoma asiendelee akatoa malalamiko kuwa amesahauliwa manake amekuja kupewa mwishoni wakati ambao hataongea mda mrefu na watu wakamwona kwenye tv. kijamaa kinakera sana sana.
Kwahiyo unataka iweje?
mbona rasmi ya wananchi imeeleza vyema vipi wananchi wangelipenda muungano wetu uwe.
warioba na tume yake walipewa kazi ya kukusanya maoni na walieleza iweje, au ww ndio hujaisoma?
kiufupi itambulike kua muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa.
mambo ya muungano ya punguwe na yawe na usimamizi wenye uwiano. hayo mapambio haki za wanawake, matumizi ya ardhi na mengineyo hayana maana yyte kwenye katiba ya muungano. maana zanzibar ina utaratibu wake wa kuyatungia sheria na kuyatekeleza kwa mujibu wa baraza la wakilishi na serikali ya mapinduzi
BONGO ndio nchi pekee wataalam wanabishiwa na wapiga porojo mitandaoni.
Ndugu mi nakushauri ukasome Katiba Inayopendekezwa vizuri kabisa katika Ibara ya Kwanza na ile ya Pili na vipengele vyake vyote utapata kuelewa jambo muhimu juu ya kitu unachokizungumzia hapo juu.
sijui niisome mara ngapi, hata uniamini, kwanza sikubaliani na ibara ya 2 -2 rais wa tanzania asiwe na mamlaka kabisa ya kuigawa zanzibar kwenye mikoa. mambo ya kuweza kukasimu iondoke na mamlaka ya kuigawa yabaki kwa rais wa zanzibar ikiwa vile inabakia lile tulilolikataa kua Tanganyika wanatukoloni.
mm pia sikubaliani na ibara ya 9. hii ni ile ile kuliweka chini baraza la wakilishi na serikali yake na kuipaisha ya muungano. nnasisitiza muungano lazima uwe wa usawa na kuheshimiana na sio mmoja kujipa ukuu na mwengine kua mdogo big hapana
kwa hio hadi hapo panatosha kukupa picha ni kipi hasa tunachosimamia
Sasa Sheikh weye watoka Pemba au Kiembesamaki? hilo suala uloliweka mahala hapa ni lako we binafsii, sio kila kitu kwenye Katiba kitaandikwa vinginevyo kila mtu angependa iandikwe kwa mtindo anaoupenda yeye jambo ambalo haliwezekani, tukubaliane na haya sheikh!!
mm ni mzanzibari wapi natoka si muhimu
tuliungana tukiamini ni nchi mbili huru. katiba inaonyesha kuna Tanzania ambayo kwa udhati ni tanganyika na zanzibar ambayo inaonekana kama ni subdivision ya tanganyika hilo big nooo
sisi tulitaka muungano wa serikali tatu ili kila upande uwe huru kufanya yake na kubakiza yale machache tuyafanye kwa pamoja na kwa muundo wenye uwiano sawa.
michezo si muungano katiba haijajibu suali kwa nn TFF wawe na mandate ya kuwakilisha zanzibar kwa mwamvuli wa muungano ? vp ZFA
kilimo si muungano iweje FAO wende bara na wawe wanachama zanzibar isujudu kuomba kupitia bara ? hili katiba hawajalijibu
afya si muungano kwa nn Tanganyika wavae koti wajiwakilishe na zanzibar ihemee kwa kuomba huruma ya tanganyika?
mambo ya biashara na sera za biashara kwa nn ziamuliwe na Tanganyika kwa mwemvuli wa muungano ?
siipigii na sishawishiki kamwe kuuza thamani ya mapinduzi ya 64 waliopigania wazee wangu. muungano huu sio na katiba hio sio tunayoitaka haileti hadhi ya zanzibar na inaikweza zaidi Tanganyika big noo
Sheikh sheikh punguza nchechetoooo!! wala hutakiwi kupanick, kumbuka kuwa kura ni siri yako, hapa si mahala pakuja kutambishana kuwa wewe utapiga kura ya aina fulani, nasisitiza kuwa kura ni siri yako wewe mwenyewe, kitu kingine tayari nimekwambia si kila jambo lazima liwepo kadri mtu atakavyo, tukifanya hivyo basi Katiba hii ingelikuwa ni zaidi ya magunia na magunia ya kurasa zenye kuwekwa kila jambo atakalo na alipendalo mtu. Kuwa muungwana ndo imeshatokea hivyo, lakini mambo mengine uloyaweka hapo juu hayana ukweli wowote labda uweke ushahidi watu tukuelewe ingawa naamini hauna huo ushahidi. Ni hayo tu Sheikh
nazani mwenye kupaswa kuweka ushahidi ni wewe unaesema mengine hayana ukweli.
ama kura ni siri lkn nnaweka sawa ile kauli tulioanzia mjadala kua hii katiba ni nzuri hii katiba kamwe si nzuri na hatuwezi kusema ishatokea tuikatae tuifumue tuje na katiba itayoleta maslahi kwa wananchi wote wa pande mbili za muungano.
mm sijapanick kabisa, ulinitaka nisome sura ya kwanza na ya pili nimesoma na kukueleza. sasa ww nenda kasome sura ya nane nioneshe mamlaka ya rais wa zanzibar kwenye muungano ?
yy kama garasa tu hazidishi wala hatoi, hilo big noo. tunahitaji kuona nchi hizi mbili zinajisikia fahari juu ya muungano huu. tuache hili la kudogoshana na kukandamizana.
muungano twautaka hela usitudonyowe
nazani mwenye kupaswa kuweka ushahidi ni wewe unaesema mengine hayana ukweli.
ama kura ni siri lkn nnaweka sawa ile kauli tulioanzia mjadala kua hii katiba ni nzuri hii katiba kamwe si nzuri na hatuwezi kusema ishatokea tuikatae tuifumue tuje na katiba itayoleta maslahi kwa wananchi wote wa pande mbili za muungano.
mm sijapanick kabisa, ulinitaka nisome sura ya kwanza na ya pili nimesoma na kukueleza. sasa ww nenda kasome sura ya nane nioneshe mamlaka ya rais wa zanzibar kwenye muungano ?
yy kama garasa tu hazidishi wala hatoi, hilo big noo. tunahitaji kuona nchi hizi mbili zinajisikia fahari juu ya muungano huu. tuache hili la kudogoshana na kukandamizana.
muungano twautaka hela usitudonyowe
Hute, nenda kanyonyeshe mwanao mchanga naona unawashwa na chuchu. Polepole siyo saizi yako.