Police Arusha wananitamani, CCM nao wamenikamia

ndio ujio wa nchemba arusha.usife moyo kamanda mawazo hata siku 1 shetani na hila zake zote ajawahi na hatawi kumshinda Mwenyezi MUNGU mwingi wa rehema,Nchemba na Polisi wenu mwisho wenu ni mbaya sana
 
Kwahio Wewe kupasua kichwa kwa risasi ndio
Busara unayoiona majitu mengine ni ujinga tu
Umetajaa kichwani mleta mada amekwambia
Wamevamiwa kwenye Kambi Yao Wewe
Umekalia kuropoka utafikiri ni kichaa poor you.

tatizo lako umevalia akili kwenye viatu hazifanyi kazi vizuri ndivyo mnavyowadanganya wenzenu wanakuwa wapumbavu kwa maneno yenu ya kihuni endelea kumpampu badala ya kumsaidia siku kibuyu kikipasuka hutamuona tena.
 
kwa nini makamanda msitangaze noma hapo arusha,mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba tuone hao policcm watakavyowaokoa maccm??? polis wenyewe wapangaji kwenye
majumba yenu,why kulialia bila kufanya kitu??? wakati umefika wa kufanya kitu! huku mwanza tumeshaonesha njia kwa yule tapeti wa viwanja!!!!
 
wewe si kamanda si mpampane au kamanda waporojo!?
 
tatizo lako umevalia akili kwenye viatu hazifanyi kazi vizuri ndivyo mnavyowadanganya wenzenu wanakuwa wapumbavu kwa maneno yenu ya kihuni endelea kumpampu badala ya kumsaidia siku kibuyu kikipasuka hutamuona tena.

huna lolote kenge mtu wewe,unadhani siku noma ikitokea utapona wewe na hao mabwana zako??? hasalimiki mtu, wapumbafu kama nyinyi mmeponza wengi lakn machafuko yanapotokea yanaondoka na nyie!!!
 
utawala unaoparaganyika haya hayana budi kutokea,pole kamanda mawazo tumaini la wanamwanza nawasukuma kwa ujumla!!! galinang'wisho agenaya kamanda!!!
 
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
CCM msidhani nchi hii ni mali yenu pekee
 
Mi nilijua tu ujio wa huyu wakala wa mauti Chemba lazima kuna damu itamwagika, kila anapoweka unyayo wake lazima watu wafe.
 
Kamanda kiukweli tuko vitan lakn haf mtu hapa hawa tunawatoa shimon we subir

Pole sana mungu akulinde
 
polisi hawana uwezo wakuwaokoa Maccm Arusha..!watu wa Arusha wameshaamua,hakika wameamua kuwa kielelezo cha mabadiliko ya Taifa hili...Mkutano wa Jr ulinishtua sana kwani Idadi ya polisi wa CID haikuwa yakawaida..!Maccm hayako hadharani'hayafanyi kampeni mchana kumbe yana ajenda yao...pole sana Kamanda Mawazo amini siku yao ya kuumbuka ni tarehe 9!
 
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.

mawazo, lazima wana arusha wote mpendane na mfanye siasa za kirafiki lakini nyie mnajifanya hamnazo kila kitu mnatumia nguvu wakati mnajua wenye kutumia nguvu ni polisi tu acha mpigwe bana tumeshauri tumechoka namtapigwa tu.


Naweza kusema ya kwamba katika majinga tulionao humu wewe ni nambari moja ndondocha mkubwa wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…