Kwahio Wewe kupasua kichwa kwa risasi ndio
Busara unayoiona majitu mengine ni ujinga tu
Umetajaa kichwani mleta mada amekwambia
Wamevamiwa kwenye Kambi Yao Wewe
Umekalia kuropoka utafikiri ni kichaa poor you.
wewe si kamanda si mpampane au kamanda waporojo!?Leo tumevamiwa ngomeni kwetu nawana ccm hapa Sombetini Arusha mjini na kuumizwa vibaya kwa baadhi ya wana cdm,nina mengi ya kuwaeleza lakini Niko kwenye tension kubwa,nawaza kwanini OCD kasema mbele ya makamanda wote eti anayetakiwa kupigwa zaid I au hata kufa ni Mimi?anasema eti Mimi Nina kihelehele kuliko Lema name kwamba siku Nikifa NO NUSU MLINGOTI,wako na OCCID wa Arusha
kamanda wa nini?Pole kamanda wetu ila usiogope
tatizo lako umevalia akili kwenye viatu hazifanyi kazi vizuri ndivyo mnavyowadanganya wenzenu wanakuwa wapumbavu kwa maneno yenu ya kihuni endelea kumpampu badala ya kumsaidia siku kibuyu kikipasuka hutamuona tena.
CCM msidhani nchi hii ni mali yenu pekeeacha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
kamanda hawa wengine si wa kujibizana nao ni machekibobu mafala hawa potezea haoNife mara ngapi we fara,unasubiri kuona mwili Wang chin I?
kamanda wa nini?
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
mawazo, lazima wana arusha wote mpendane na mfanye siasa za kirafiki lakini nyie mnajifanya hamnazo kila kitu mnatumia nguvu wakati mnajua wenye kutumia nguvu ni polisi tu acha mpigwe bana tumeshauri tumechoka namtapigwa tu.
Nife mara ngapi we fara,unasubiri kuona mwili Wang chin I?