gashambala uwezo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 485
- 67
Mkuu Condom nawe ni gamba!!!! Maweeee utakuwa condom za msaada wa usaid
Yeye akipeleka mbele wewe utapelekewa nyuma...Usitake kujua ni gamba au chama gani, mi ni mtanzania mpenda amani peleka ungese wako mbele huko!
wewe MBURULA NA FUKARA WA KUTUPWA , UNADHANI UNAWEZA KUMTISHA KAMANDA MAWAZO ?
Yeye akipeleka mbele wewe utapelekewa nyuma...
Wee kenge..siasa za chuki nan kamfanyia mwenzake fujo? Sehemu ambako watz wanakufa kati ya wafugaji na wakulima mbona srkl ya mburula ka wewe hawajatatua hayo matatzo?acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
Umeacha au umeachiwa,we utakuwa Max Kabaang..Mi nimeacha kama Mini Kabaang!
Umeacha au umeachiwa,we utakuwa Max Kabaang..
Kukuuzia pampus kwa bei ileile...Kwa hiyo we bado unaendelea!
Kamanda wa kuogopwa ni Mungu pekee hao vikaragosi wasikutishe,Leo tumevamiwa ngomeni kwetu nawana ccm hapa Sombetini Arusha mjini na kuumizwa vibaya kwa baadhi ya wana cdm,nina mengi ya kuwaeleza lakini Niko kwenye tension kubwa,nawaza kwanini OCD kasema mbele ya makamanda wote eti anayetakiwa kupigwa zaid I au hata kufa ni Mimi?anasema eti Mimi Nina kihelehele kuliko Lema name kwamba siku Nikifa NO NUSU MLINGOTI,wako na OCCID wa Arusha
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
kamanda hawa wengine si wa kujibizana nao ni machekibobu mafala hawa potezea hao
Leo tumevamiwa ngomeni kwetu nawana ccm hapa Sombetini Arusha mjini na kuumizwa vibaya kwa baadhi ya wana cdm,nina mengi ya kuwaeleza lakini Niko kwenye tension kubwa,nawaza kwanini OCD kasema mbele ya makamanda wote eti anayetakiwa kupigwa zaid I au hata kufa ni Mimi?anasema eti Mimi Nina kihelehele kuliko Lema name kwamba siku Nikifa NO NUSU MLINGOTI,wako na OCCID wa Arusha
Kamanda wa kuogopwa ni Mungu pekee hao vikaragosi wasikutishe,
Mungu yupo upande wetu, utashinda tunakuombea makamnda wote
Mtaua sana, msidhani kama nyinyi ni tofauti na Idd Amin, Samwel Dor, Mobutu na wengine waliokufa vifo vya aibu, mkidhani mtaua tu na nyinyi mtaishi milele mnajidanganyaacha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.