POLICE FANYEN PATROL MAENEO YA DARAJANI MPAKA VITUO VYA BANDAR, MIVINJE

Yeah, jioni kwenye foleni wanang'oa sana vifaa kwenye magari, kupora simu na mikoba.. Halafu wakishapora wanatembea, wala hawakimbii..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kama Nina mguu wa Kuku, napasua ubongo. Dharau gani hii!!! Yani unanipora halafu hukimbii unatembea!! Inauma sana
 
Ndio maaana mnaitwa wanaume wa dar....

Gari ina watu zaid ya 20 alafu munatikiswa na mateja 10 tena kwa silah ya kisu... Dah.

Kwa kweli muibiwe tu aiseee.... Ikiwezekana wawaingilie tu kabisaa...
Njoeni mtusaidie kama mnaona ni rahisi kupambana nao
 
Wadau kuna kundi kubwa sana la watu wanapora, yaaaan wanasimamisha gari kma abiria harafu wanapora mikoba, simu huku wakiwa na visu. Vijana wapo zaid ya kumi, yaaan hatari kwakweli.
Police zunguuken mitaa hiyo vibaka wapo wengi sana wanafanya uporaji

Sasa naanza kuamini kwamba ule Msemo wa ' Mwanaume wa Dar ' au ' Wanaume wa Dar ' una mashiko / usahihi kabisa. Haiwezekani Dume zima lenye Nywele katika Kila Kona ' Nyeti ' za Mwilini leo linakuja Kulalamika na Kuomba msaada kwa Police wakati Idadi hiyo ya hao Wahalifu ' kama Yeye asingekuwa NyaliNyali / GoiGoi basi angeweza tu Kuwamudu.

Kazi ipo hakyanani
 
Hatuna nguvu kazi ya kupeleka huko. Jisaidieni wenyewe kwanza mkishindwa tuleteeni. Kwanza wewe muongo mbona uliweza kuandika haya kwa kutumia sm yako?? Uliificha wapi wasiichukue??
hahaa
 
Hii dunia usipotafuta njia zako mwenyewe za kujilinda, utaishia kulizwa na kusamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…