Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Nikweli Mimi siyo mzungu lakini pamoja na kuwa lugha ya malikia sio yetu ni sawa.
Sasa inakuwaje police mnapokuwa una deal na mtu Huwa mnapenda sana kutumia hili neno "I'm not your friend My friend " Tena mkiwa na ujasiri kabisa hata ukiwa mbele ya mkuu wako wa kituo.
Tuambieni labda ni rejista Zenu na sisi hatuzijui maana yake. Ningependa Leo mtuambie Huwa mna maana Gani?
A I'M NOT YOUR FRIEND MY FRIEND.
🙆🙆😳😳
Sasa inakuwaje police mnapokuwa una deal na mtu Huwa mnapenda sana kutumia hili neno "I'm not your friend My friend " Tena mkiwa na ujasiri kabisa hata ukiwa mbele ya mkuu wako wa kituo.
Tuambieni labda ni rejista Zenu na sisi hatuzijui maana yake. Ningependa Leo mtuambie Huwa mna maana Gani?
A I'M NOT YOUR FRIEND MY FRIEND.
🙆🙆😳😳