chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kesho Samia yuko kwa wataalamu wa serikali za mitaa, Mzumbe. Tena kaenda hapo kipindi cha uchaguzi wa mitaa.
Kwa nini kijiji kiwe shida kama ni mchakato wa ugatuaji? Hakuna new thinking ili madaraka yabaki kwa wananchi?maana at first anaamuliwa kijijni, baaadae anaaambiwa nenda mjini. Mjini anamkuta diwani aliyemuacha nyumbani.
Hatuwezi kuwa na case study ya kijiji ndani ya Manispaa/jiji tuone watu wanaamuaje mambo yao?
Kwa nini kijiji kiwe shida kama ni mchakato wa ugatuaji? Hakuna new thinking ili madaraka yabaki kwa wananchi?maana at first anaamuliwa kijijni, baaadae anaaambiwa nenda mjini. Mjini anamkuta diwani aliyemuacha nyumbani.
Hatuwezi kuwa na case study ya kijiji ndani ya Manispaa/jiji tuone watu wanaamuaje mambo yao?