Polisi 1,800 wa DRC wadaiwa kujiunga na M23 wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao

Polisi 1,800 wa DRC wadaiwa kujiunga na M23 wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao.

Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba na kupiga makofi katika mji wa Bukavu uliotekwa na M23 Jumamosi Februari 16,2025.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Lawrence Kanyuka, takriban maofisa wa polisi 1,800 wamejisalimisha huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na wengine 500 wakifanya hivyo siku moja baadaye.

Askari hao wanajiandaa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo mapya chini ya mamlaka ya waasi hao (M23) ambao wanadaiwa kuungwa mkono na Serikali ya Rwanda, japo Rais Paul Kagame kukanusha madai hayo.
 
Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao.

Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba na kupiga makofi katika mji wa Bukavu uliotekwa na M23 Jumamosi Februari 16,2025.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Lawrence Kanyuka, takriban maofisa wa polisi 1,800 wamejisalimisha huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na wengine 500 wakifanya hivyo siku moja baadaye.

Askari hao wanajiandaa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo mapya chini ya mamlaka ya waasi hao (M23) ambao wanadaiwa kuungwa mkono na Serikali ya Rwanda, japo Rais Paul Kagame kukanusha madai hayo.
Bado huo ni mtego Kwa M23, huwez jua kweli wameasi ili muwe pamoja au wamesogea karibu kujua mbinu zenu,vifaa na ramani yenu kiujumla
 
Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao.

Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba na kupiga makofi katika mji wa Bukavu uliotekwa na M23 Jumamosi Februari 16,2025.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Lawrence Kanyuka, takriban maofisa wa polisi 1,800 wamejisalimisha huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na wengine 500 wakifanya hivyo siku moja baadaye.

Askari hao wanajiandaa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo mapya chini ya mamlaka ya waasi hao (M23) ambao wanadaiwa kuungwa mkono na Serikali ya Rwanda, japo Rais Paul Kagame kukanusha madai hayo.
Clip iko wapi?
 
Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao.

Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba na kupiga makofi katika mji wa Bukavu uliotekwa na M23 Jumamosi Februari 16,2025.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Lawrence Kanyuka, takriban maofisa wa polisi 1,800 wamejisalimisha huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na wengine 500 wakifanya hivyo siku moja baadaye.

Askari hao wanajiandaa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo mapya chini ya mamlaka ya waasi hao (M23) ambao wanadaiwa kuungwa mkono na Serikali ya Rwanda, japo Rais Paul Kagame kukanusha madai hayo.
hii habari ni sadiki ukipenda haina chanzo chochote, porojo tu
 
ya m23 ni sawa na yale ya taleban

wataleban walikaa maporini miaka 20 huku wakiwa wanapigana na serikali mwishowe taleban walishinda na kumiliki serikali

serikali ilipinduliwa kwa jasho na damu
Pamoja na USA kuingilia kati
 
Bado huo ni mtego Kwa M23, huwez jua kweli wameasi ili muwe pamoja au wamesogea karibu kujua mbinu zenu,vifaa na ramani yenu kiujumla
Nami niliwaza kitu kama hiki, humo humo watapenyezewa virusi watashangaa
 
Hao m23 wako disperate kutaka tu kuonekana wanakubalika na wakongo ili kuhalalisha uasi wao. Pamoja na hayo m23 wana hofu sana maana walikofikia wanajua hawawezi kusikilizwa tena na Kinshasa zaidi ya kupigwa chuma tu.
 
Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao.

Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba na kupiga makofi katika mji wa Bukavu uliotekwa na M23 Jumamosi Februari 16,2025.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Lawrence Kanyuka, takriban maofisa wa polisi 1,800 wamejisalimisha huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na wengine 500 wakifanya hivyo siku moja baadaye.

Askari hao wanajiandaa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo mapya chini ya mamlaka ya waasi hao (M23) ambao wanadaiwa kuungwa mkono na Serikali ya Rwanda, japo Rais Paul Kagame kukanusha madai

Wanabaguliwa na Uongozi wa Kinshasa sana na kwa sasa mjini Kinshasa wameanza kuwasaka na kuwaua wanaongea kiswahili. Kinshasa ukiongea kiswahili unakufa.
 
Umati wa maofisa wa polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamekacha na kujiunga na kundi la waasi la M23, huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo ya kijeshi na waasi hao.

Reuters imeripoti jana kuwa askari hao waliovalia sare za kijeshi za rangi ya bluu walionekana wakiimba na kupiga makofi katika mji wa Bukavu uliotekwa na M23 Jumamosi Februari 16,2025.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Lawrence Kanyuka, takriban maofisa wa polisi 1,800 wamejisalimisha huku wakijisajili kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na wengine 500 wakifanya hivyo siku moja baadaye.

Askari hao wanajiandaa kwa ajili ya kupatiwa mafunzo mapya chini ya mamlaka ya waasi hao (M23) ambao wanadaiwa kuungwa mkono na Serikali ya Rwanda, japo Rais Paul Kagame kukanusha madai hayo.
Wamefanya hayo kuokoa uhai wao.
 
Back
Top Bottom