beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Polisi amekamatwa na kuwekwa karantini ya lazima baada ya kukutwa akimbaka mgonjwa wa COVID19 katika Kituo maalum kilichotengwa na Serikali kwa ajili ya wagonjwa hao
Kwa mujibu wa ripoti ya Polisi, Mtuhumiwa alikutwa na Polisi mwenzake akiwa na Mgonjwa katika mazingira yasiyoridhisha, jambo ambalo lilipelekea Polisi huyo kutoa taarifa kwa wenzake
Waliporejea eneo la tukio hawakuwakuta wawili hao na baada ya muda walisikia vurugu kutoka wodi ya Wanawake ambapo wagonjwa walidai Polisi alikuwa anambaka Mwanamke huyo
Imeelezwa kuwa, Maafisa wa afya waliitwa na Mtuhumiwa alinyang'anywa bastola kabla ya kuwekwa karantini ndani ya Kituo hicho
===
A police officer in Busia County has been disarmed, arrested and placed into mandatory quarantine after he was found raping a COVID-19 patient.
The cop was one of two police officers and three wardens from Busia prison stationed to guard the Agricultural Training Centre, an isolation facility set aside by the Ministry of Health for coronavirus patients.
According to a police report seen by Citizen Digital, one of the officers on routine patrol at the facility on Thursday night noticed the suspect “engaging a patient” and became uncomfortable hence went back to the guard room.
He then narrated to his colleagues what he had witnessed and they became suspicious but, upon going to check on the suspect and the patient, they did not find them.
They hence started looking around the facility and, at about a little past midnight, they reportedly heard a commotion coming from the women’s ward.
The officers, upon rushing there, found all the other patients outside “complaining that the prison officer was raping the said lady patient.”
Health officers were summoned to the scene and the officer was disarmed by senior colleagues from Busia Prison before being quarantined within the same facility.
Source: Citizen Tv
Kwa mujibu wa ripoti ya Polisi, Mtuhumiwa alikutwa na Polisi mwenzake akiwa na Mgonjwa katika mazingira yasiyoridhisha, jambo ambalo lilipelekea Polisi huyo kutoa taarifa kwa wenzake
Waliporejea eneo la tukio hawakuwakuta wawili hao na baada ya muda walisikia vurugu kutoka wodi ya Wanawake ambapo wagonjwa walidai Polisi alikuwa anambaka Mwanamke huyo
Imeelezwa kuwa, Maafisa wa afya waliitwa na Mtuhumiwa alinyang'anywa bastola kabla ya kuwekwa karantini ndani ya Kituo hicho
===
A police officer in Busia County has been disarmed, arrested and placed into mandatory quarantine after he was found raping a COVID-19 patient.
The cop was one of two police officers and three wardens from Busia prison stationed to guard the Agricultural Training Centre, an isolation facility set aside by the Ministry of Health for coronavirus patients.
According to a police report seen by Citizen Digital, one of the officers on routine patrol at the facility on Thursday night noticed the suspect “engaging a patient” and became uncomfortable hence went back to the guard room.
He then narrated to his colleagues what he had witnessed and they became suspicious but, upon going to check on the suspect and the patient, they did not find them.
They hence started looking around the facility and, at about a little past midnight, they reportedly heard a commotion coming from the women’s ward.
The officers, upon rushing there, found all the other patients outside “complaining that the prison officer was raping the said lady patient.”
Health officers were summoned to the scene and the officer was disarmed by senior colleagues from Busia Prison before being quarantined within the same facility.
Source: Citizen Tv