Siyo police jamani huyo...niwalinzi tu wavikampuni uchwara angejaribu kuingilia hapo nae angekosa hicho kibarua ndio maana alikuwa anaangalia tu.....lol kabinti kana mdomo mchafu balaaa....Wadau hii imekaaje kwa polisi kuacha vurugu iendelee tu eneo la tukio?
Na sitoshangaa kuona wanaharakati wa haki za binaadamu wakinyamaza kimya pamoja na ushahidi huu, mnaohusika na haki za wafanyakazi wa majumbani muanze na hili.