Polisi amuua mkewe kwa kuzaa nje ya ndoa

Polisi amuua mkewe kwa kuzaa nje ya ndoa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Katika Kijiji cha Kaunda eneo la Navakholo kaunti ya Kakamega, Polisi Patrick Nyapara wa utawala amemuua mkewe, Christine Maonga (28) kwa kumpiga risasi mara tatu kichwani baada kuzozana kwa muda mrefu.

Patrick alidai kuwa mkewe alipata ujazito nje ya ndoa na kumsingizia kuwa yeye ndiye baba wa mtoto huyo baada ya kujifungua

Inadaiwa kuwa ndoa ya wawili hao imekuwa ikikumbwa na changamoto nyingi sana tangu mwanamke huyo alipojifungua mtoto wao wa kwanza na ilibainika kuwa mwanaume huyo alikuwa akimtishia mkewe hata katika mitandao ya kijamii

Afisa huyo alitoweka baada ya kutenda kitendo hicho huku mwili wa marehemu ukipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti mjini kakamega

Marehemu alikuwa mwalimu katika shule ya upili ya Navakholo
 
Huyo mwanamke nae sijui alikuwa a nafikiria nini aise
 
Katika Kijiji cha Kaunda eneo la Navakholo kaunti ya Kakamega, Polisi Patrick Nyapara wa utawala amemuua mkewe, Christine Maonga (28) kwa kumpiga risasi mara tatu kichwani baada kuzozana kwa muda mrefu.

Patrick alidai kuwa mkewe alipata ujazito nje ya ndoa na kumsingizia kuwa yeye ndiye baba wa mtoto huyo baada ya kujifungua

Inadaiwa kuwa ndoa ya wawili hao imekuwa ikikumbwa na changamoto nyingi sana tangu mwanamke huyo alipojifungua mtoto wao wa kwanza na ilibainika kuwa mwanaume huyo alikuwa akimtishia mkewe hata katika mitandao ya kijamii

Afisa huyo alitoweka baada ya kutenda kitendo hicho huku mwili wa marehemu ukipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti mjini kakamega

Marehemu alikuwa mwalimu katika shule ya upili ya Navakholo
Whether you think you can or you think you can’t, you’re right.

Yupo sahihi
 
Back
Top Bottom