Jeshi la Polisi linahita kufanyiwa mambo yafuatayo:
i)Kuondoa uongozi wa juu wote kabisa, kwa kuwastaafisha au kuhamishia magereza, na kuleta wengine kutoka JWTZ.
ii)Kufanya vetting kwa hawa askari wa kawaida kupitia kura ya siri ya wananchi wa kawaida, na kisha wale ambao watakuwa wameonekana hawafai watolewe, na kama makosa yao ni ya jinai na yanathibitika washitakiwe mahakamani.
iii)Uteuzi wa IGP ukifanyika upitishwe Bungeni ili aweze kuthibitushwa au kukataliwa
Wakuu naomba niwakilishe hoja yangu.