Polisi Ashikilia Leseni kwa Kosa la Mtu Mwingine

Polisi Ashikilia Leseni kwa Kosa la Mtu Mwingine

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Wana JF heri ya mwaka mpya. Kuna suala nimelisia sasa naomba kuelimishwa sheria inasemaje.

Kuna ndugu mmoja kanunua gari kwa mtu. Siku moja akasimamishwa barabarani akaambiwa gari lake inadeni la tzs 150,000/- akaoneshwa jina la dereva na lesseni namba ya huyo dereva. Pia, akajulishwa makosa yaliyotendwa.

Makosa matatu, yalitendwa kwa nyakati na mazingira tofauti.

Huyu mmiliki mpya wa gari akajitetea kwamba makosa yale hakuyatenda yeye na gari lilikuwa chini ya miliki ya mtu mwingine. Tafiki polisi aliyemkamata hakumwelewa. Akadai aachiwe leseni. Leseni itarudishwa deni likisha lipwa. Leseni imeshikiliwa na huyo trafiki kwa zaidi ya mwezi.

Je! Ni halali kosa la dereva wa gari kulipishwa faini ya dereva mwingine?

Je! Ni halali kwa afisa wa trafiki kushikilia leseni ya mtu asiyena kosa lo lote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana JF heri ya mwaka mpya. Kuna suala nimelisia sasa naomba kuelimishwa sheria inasemaje.

Kuna ndugu mmoja kanunua gari kwa mtu. Siku moja akasimamishwa barabarani akaambiwa gari lake inadeni la tzs 150,000/- akaoneshwa jina la dereva na lesseni namba ya huyo dereva. Pia, akajulishwa makosa yaliyotendwa.

Makosa matatu, yalitendwa kwa nyakati na mazingira tofauti.

Huyu mmiliki mpya wa gari akajitetea kwamba makosa yale hakuyatenda yeye na gari lilikuwa chini ya miliki ya mtu mwingine. Tafiki polisi aliyemkamata hakumwelewa. Akadai aachiwe leseni. Leseni itarudishwa deni likisha lipwa. Leseni imeshikiliwa na huyo trafiki kwa zaidi ya mwezi.

Je! Ni halali kosa la dereva wa gari kulipishwa faini ya dereva mwingine?

Je! Ni halali kwa afisa wa trafiki kushikilia leseni ya mtu asiyena kosa lo lote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipaswa kukamata gari na si leseni kwakuwa makosa hayahusiani na dereva bali mmiliki... Lakini kuna uwezekano kabisa jamaa alijitetea kuwa hana hela kwa wakati huo ndio maana leseni ikashikiliwa kama dhamana, japo hii imefanyika kama 'mutual agreement'

Nashauri jamaa akalipe tu ama awasiliane na mwenye gari hizo faini zilipwe.. Hazikwepeki

Jr[emoji769]
 
Hapo police kamsaidia sana alitakiwa kulizuia kabisa mpaga deni lilipwe,unaponunua gari unatakiwa umwone traffic mwenye kimashine na uulize kama gari haidaiwi hill in jukumu LA mnunuzo (due deligency)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipaswa kukamata gari na si leseni kwakuwa makosa hayahusiani na dereva bali mmiliki... Lakini kuna uwezekano kabisa jamaa alijitetea kuwa hana hela kwa wakati huo ndio maana leseni ikashikiliwa kama dhamana, japo hii imefanyika kama 'mutual agreement'

Nashauri jamaa akalipe tu ama awasiliane na mwenye gari hizo faini zilipwe.. Hazikwepeki

Jr[emoji769]
Kazi kweli na hapo kama kuna madalali waliouza ?
 
Sheria inasemaje, sio kuuliza utashi mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria inasema unaponunua chombo cha moto kwa mtu akikisha ndani ya siku kumi na nne umekwisha kibadilisha Jina na kuwa chini ya umiliki wa Jina lako. Kama Jamaa amelitumia Ilo Gari kwa Jina lisilo lake zaidi ya 14day ni kosa la kwanza. Kubadili Jina kungemsahidia kujua kama Gari Ina deni lolote Tra au tragic na ingekuwa rahisi kuwasiliana na mwenye Gari na kumuelewesha kimeo cha trafiki kilichopo na mwenye Gari angejua lessen iliyopigwa fine ni ya Nani... Alafu Kuna makosa ya mwenye Gari na makosa ya Dreva. Kama Gari ni bovu ili ni la boss kama ni kutokutii sheria za barabaran Ilo ni kosa la Dreva.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kweli na hapo kama kuna madalali waliouza ?
Madalali sio wamiliki kabla hujafikia kufanya biashara unapaswa kujiridhisha mambo kadhaa hilo likiwa ni mojawapo

Jr[emoji769]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Madalali sio wamiliki kabla hujafikia kufanya biashara unapaswa kujiridhisha mambo kadhaa hilo likiwa ni mojawapo

Jr[emoji769]
Lakin wengi wao huwa wanamaliza wao
 
Ukinunua biashara yenye madeni, unanunua na madeni yake.. ukinunua nyumba inadaiwa na tanesco, madeni yanakuhusu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom