johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam imesema silaha ya mbunge wa Mtama mkoani Lindi iliyoibiwa kupitia dirishani nyumbani kwake Kawe beach jijini Dar es salaam imepatikana.
Silaha hiyo aina ya bastola ikiwa na risasi 14 imepatikana mkoani Mbeya baada ya ushirikiano wa polisi wa mikoa hiyo miwili na mtu mmoja anashikiliwa kuhusiana na tukio hilo.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Silaha hiyo aina ya bastola ikiwa na risasi 14 imepatikana mkoani Mbeya baada ya ushirikiano wa polisi wa mikoa hiyo miwili na mtu mmoja anashikiliwa kuhusiana na tukio hilo.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!