POLISI: Bwana harusi alijificha kwa mganga.

POLISI: Bwana harusi alijificha kwa mganga.

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
#VIDEO: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa Vincent Massawe (Bwana harusi) ambaye taarifa zake zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amepotea siku chache baada ya kufunga ndoa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema Vicent amekutwa amejificha maeneo ya Chake Chake Pemba na baadaye walimkuta kwa Mganga wa kienyeji Zanzibar na baada ya mahojiano walibaini Vincent alikuwa ana madeni mengi hali iliyopelekea kutengeneza mazingira ya yeye kupotea.

View: https://www.facebook.com/share/v/19nQSp2ugR/?mibextid=ff4enFATZKjxhjKN
 
#VIDEO: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa Vincent Massawe (Bwana harusi) ambaye taarifa zake zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amepotea siku chache baada ya kufunga ndoa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema Vicent amekutwa amejificha maeneo ya Chake Chake Pemba na baadaye walimkuta kwa Mganga wa kienyeji Zanzibar na baada ya mahojiano walibaini Vincent alikuwa ana madeni mengi hali iliyopelekea kutengeneza mazingira ya yeye kupotea.

View: https://www.facebook.com/share/v/19nQSp2ugR/?mibextid=ff4enFATZKjxhjKN

mchaga gani huyu? huenda alitegemea atapata mali fedha kwenye harusi masikini ikawa tofauti!!
 
#VIDEO: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa Vincent Massawe (Bwana harusi) ambaye taarifa zake zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amepotea siku chache baada ya kufunga ndoa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema Vicent amekutwa amejificha maeneo ya Chake Chake Pemba na baadaye walimkuta kwa Mganga wa kienyeji Zanzibar na baada ya mahojiano walibaini Vincent alikuwa ana madeni mengi hali iliyopelekea kutengeneza mazingira ya yeye kupotea.

View: https://www.facebook.com/share/v/19nQSp2ugR/?mibextid=ff4enFATZKjxhjKN

Ghalama za shughuli unaweka kubwa ukitegemea utapata hela na mtaji katika usiku wa sherehe cha kustaajabisha unakutana na vitu usivyotegemea madeni yamekuandama unaamua kufanya vitu visivyoeleweka.
 
Duh alafu polisi hawana siri hawa
😄

Ova
 
1734442443939.png
Kashinaga hange! 😅
 
#VIDEO: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa Vincent Massawe (Bwana harusi) ambaye taarifa zake zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amepotea siku chache baada ya kufunga ndoa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema Vicent amekutwa amejificha maeneo ya Chake Chake Pemba na baadaye walimkuta kwa Mganga wa kienyeji Zanzibar na baada ya mahojiano walibaini Vincent alikuwa ana madeni mengi hali iliyopelekea kutengeneza mazingira ya yeye kupotea.

View: https://www.facebook.com/share/v/19nQSp2ugR/?mibextid=ff4enFATZKjxhjKN

ambao hamjui stress za madeni msicomment hapa!zinatesa sana aisee!!alifanya hayo kwa kutokupenda
 
Ghalama za shughuli unaweka kubwa ukitegemea utapata hela na mtaji katika usiku wa sherehe cha kustaajabisha unakutana na vitu usivyotegemea madeni yamekuandama unaamua kufanya vitu visivyoeleweka.
... yaani unataka kusema maboksi ya Zawadi yalijaa yale Maputo yenye kidole kimoja!?
😅
 
Ghalama za shughuli unaweka kubwa ukitegemea utapata hela na mtaji katika usiku wa sherehe cha kustaajabisha unakutana na vitu usivyotegemea madeni yamekuandama unaamua kufanya vitu visivyoeleweka.
Dalali alidhani ana watu, kumbe kina sie pangu pakavu.
 
Ndoa mnazigeuza harusi, kisha harusi mnafanyia ufahari, bwana harusi unatumia milioni 30 wakati biashara ya milioni 20 huna, sifanyi ujinga huo
 
Unaanzaje kudeal na mtu anaitwa Massawe? Hao wakishaiba hela wanakuambia wanafanya kazi kwa bidii sasa iga ufe.
 
Back
Top Bottom