A
Anonymous
Guest
KItuo cha polisi Chanika, kimekuwa kikipelekewa malalamiko kila kukicha na viongozi wa Mtaa wa Mvuleni Msongola, Maeneo ya Kitonga
Wananchi wanashindwa kuendelea na shughuli zao. Wanavamiwa na kutekwa Mchana kweupe na makundi ya vijana. Makundi yao ni Gusq, Dolla Mbili
Wanatesa sana wananchi
Je, wananchi tuchukue sheria Mkononi ?
Wananchi wanashindwa kuendelea na shughuli zao. Wanavamiwa na kutekwa Mchana kweupe na makundi ya vijana. Makundi yao ni Gusq, Dolla Mbili
Wanatesa sana wananchi
Je, wananchi tuchukue sheria Mkononi ?