royal tourtz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 255
- 326
Imekuwa ni kama kawaida sana kwa siku hizi na tokea zamani pale inapotokea mwendesha pikipiki za abilia maarufu kama bodaboda. pale inapotea bodaboda yeyote kugonga mtu au kusababisha ajari,na bodaboda huyo kutoweka kabisa na hakuna wa kumfatilia.
Tatizo kuu ambalo lipo,huyu bodaboda anaweza kugonga katikati ya mji au karibu na hudma za boda boda na wezake wakaona kila kitu lakini wenzake hawawezi kuona kama amefanya makosa matokeo yake wenzake hawatasogea eneo la tukio lakini pia hawatajishughulisha kumfatilia mwenzao ili kumkamata. matokeo yake aliyegongwa ndio atapambana na hali yake.
Kwa ushauri wangu.nafikiri ni suala la elimu na kutoa hamasa kwa, wao kwa wao wawe ndio msitari wa mbele kukamatana pale wanapofanya makosa. Maana ukiwauliza wanasema hawawezi mkamata mwenzao kwa vile amegonga.. ila wao gari likimgonga mmoja ndio mtajua hao jamaa wako wengi kiasi gani
Tatizo kuu ambalo lipo,huyu bodaboda anaweza kugonga katikati ya mji au karibu na hudma za boda boda na wezake wakaona kila kitu lakini wenzake hawawezi kuona kama amefanya makosa matokeo yake wenzake hawatasogea eneo la tukio lakini pia hawatajishughulisha kumfatilia mwenzao ili kumkamata. matokeo yake aliyegongwa ndio atapambana na hali yake.
Kwa ushauri wangu.nafikiri ni suala la elimu na kutoa hamasa kwa, wao kwa wao wawe ndio msitari wa mbele kukamatana pale wanapofanya makosa. Maana ukiwauliza wanasema hawawezi mkamata mwenzao kwa vile amegonga.. ila wao gari likimgonga mmoja ndio mtajua hao jamaa wako wengi kiasi gani