sipati cheka nikasahau jinsi walivyokimbia baada ya kuachiwa ilikuwa hiviii.
bora walivyochapwa tu..kule Magomeni nako ndio mtindo mmoja
kanga Moko wanajimwagia na maji..watoto zao wako hapo hapo Pumbaf zao
sipati ku unattached the attachment
Wanajitafutia riziki kwa dhiki
i wish ningekuwepo hapo najua ningekuwa nimeongeza siku moja ya kuishi kwa kucheka.
picha mbona haifunguki!