kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,742
Tarehe 21.9.2013 kulipotokea lile tukio la uvamizi pale Westgate Kenya tumeshuhudia Askari wakiingia katika katika ile vita huku wakiwa hawana kinga yeyote ya kuzuia Risasi za wale magaidi na kwa mtazamo wangu nahisi wengi wa askari waliokufa katika vita ile ni hao ambao hawakuwa na kinga, Ombi langu kwa Askari,JWTZ na vyombo vingine vya usalama tunapoingia katika uokoaji na mashambulizi kama yale iwapo yatatokea hapa kwetu (siombi na naomba mungu aepushie mbali) basi tujikinge ili kuepusha maafa kwa askari wetu kwani hawa magaidi walikuwa hawaangalii aliye na uniform au asiye na uniform wote walikuwa ni Target kwao.




Hii ni mifano michache ya askari wa Kenya ambao hawakuvaa kinga yeyote kuzuia vichwa vyao ambavyo kama tulivyoshuhudia hawa Al Shabab wao walikuwa wanalenga vichwa tu.




Hii ni mifano michache ya askari wa Kenya ambao hawakuvaa kinga yeyote kuzuia vichwa vyao ambavyo kama tulivyoshuhudia hawa Al Shabab wao walikuwa wanalenga vichwa tu.