DOKEZO Polisi Kanda maalumu Tarime-Rorya, mmeshindwa kudhibiti huu usafirishaji wa bangi?

DOKEZO Polisi Kanda maalumu Tarime-Rorya, mmeshindwa kudhibiti huu usafirishaji wa bangi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nyamesocho

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2023
Posts
487
Reaction score
1,287
Najitokeza hapa kulalamikia usafirishaji wa bangi unaofanywa na vijana wa boda boda licha ya kwamba ni kinyume kusafirisha lakini imekuwa hatari kwa wakazi na wanafunzi wanaotumia hii barabara inayosafirisha bangi.

Barabara ya Kijiji cha Nyamwigura kupitia vijiji vya Magoma, Nyasaricho, kitagasembe, Gwitiryo, Sirari, wakazi na wanaotumia wapo kwenye risky kubwa kwa ajali za barabarani.

Hawa wasafirishaji bangi wataua watu kwenye hii barabara kwa sababu speed wanayopita kwenye hiyo barabara ni ya hatari sana. Nyakati za jioni watoto wanakuwa wanatoka shule, inakuwa ni hatari sana kwa usalama wa watoto, mpaka wazazi wanakuwa na wasi wasi usalama wa watoto na watu wengine na hao hao boda boda wasafirishaji.

Je, Jeshi la Polisi Tarime Rorya mnasubiri watu wafe ndio mchukue hatua kwenye hii barabara?

Tunalitaka Jeshi la Polisi kudhibiti hili, bora wasafirishe usiku kuliko mchana, maisha ya jamii ya maeneo haya yapo hatarini, kila siku jioni wanafunzi, watumia barabara wanaponea chupuchupu kugongwa na wasafirishaji bangi.
 
Najitokeza hapa kulalamikia usafirishaji wa bangi unaofanywa na vijana wa boda boda licha ya kwamba ni kinyume kusafirisha lakini imekuwa hatari kwa wakazi na wanafunzi wanaotumia hii barabara inayosafirisha bangi

Barabara ya Kijiji cha Nyamwigura kupitia vijiji vya Magoma, Nyasaricho, kitagasembe, Gwiriryo, Sirari , wakazi na wanaotumia wapo kwenye risky kubwa kwa ajali za barabarani

Hawa wasafirishaji bangi wataua watu kwenye hii barabara kwa sababu speed wanayopita kwenye hiyo barabara ni ya hatari sana, nyakati za jioni watoto wanakuwa wanatoka shule,inakuwa ni hatari sana kwa usalama wa watoto kwenye mpaka wazazi wanakuwa na wasi wasi usalama wa watoto na watu wengine na hao hao boda boda wasafirishaji

Je Jeshi la polisi Tarime Rorya mnasubiri watu wafe ndo mchukue hatua kwenye hii barabara

Tunalitaka jeshi la polisi kudhibiti hili, bora wasafirishe usiku kuliko mchana, maisha ya jamii ya maeneo haya yapo hatarini,kila siku jioni wanafunzi,watumia barabara wanaponea chupuchupu kugongwa na wasafirishaji bangi
Fanya kilichokupeleka Tarime Mkuu vinginevyo utabaki stori. Bangi kwa wengine ni halali na kwa hapo Tarime ni zao muhimu na limechangia maendeleo unayoona kwa wenyeji. Bangi inaenda Kenya na wakenya hawallalamiki wewe kinachokuuma ni kipi?
 
Boda boda ni kama panya kumzibit siyo rahis hasa kwenye nyumba yenye vitu vingi

hUku kwetu wanasafirisha samaki hyo speed yao siyo poa,hapo zaman polis walijitahid kuwafukuzia ila walikuwa wanaishia kupata ajari na kufa,
Mwisho wa siku siku hz wanawaangalia tu,tena wanapita hata kwenye vituo vya polis

wEkeni bumps sehemu mbali mbali kupunguza ajari
 
Fanya kilichokupeleka Tarime Mkuu vinginevyo utabaki stori. Bangi kwa wengine ni halali na kwa hapo Tarime ni zao muhimu na limechangia maendeleo unayoona kwa wenyeji. Bangi inaenda Kenya na wakenya hawallalamiki wewe kinachokuuma ni kipi?
Mimi nalalamikia speed za hao wasafirishaji ni hatari kwa watumiaji wa barabara hasa watoto na wanafunzi, pikipiki inakimbizwa utadhani ni mashindano ya marathoni
 
Najitokeza hapa kulalamikia usafirishaji wa bangi unaofanywa na vijana wa boda boda licha ya kwamba ni kinyume kusafirisha lakini imekuwa hatari kwa wakazi na wanafunzi wanaotumia hii barabara inayosafirisha bangi

Barabara ya Kijiji cha Nyamwigura kupitia vijiji vya Magoma, Nyasaricho, kitagasembe, Gwitiryo, Sirari , wakazi na wanaotumia wapo kwenye risky kubwa kwa ajali za barabarani

Hawa wasafirishaji bangi wataua watu kwenye hii barabara kwa sababu speed wanayopita kwenye hiyo barabara ni ya hatari sana, nyakati za jioni watoto wanakuwa wanatoka shule,inakuwa ni hatari sana kwa usalama wa watoto mpaka wazazi wanakuwa na wasi wasi usalama wa watoto na watu wengine na hao hao boda boda wasafirishaji

Je Jeshi la polisi Tarime Rorya mnasubiri watu wafe ndo mchukue hatua kwenye hii barabara

Tunalitaka jeshi la polisi kudhibiti hili, bora wasafirishe usiku kuliko mchana, maisha ya jamii ya maeneo haya yapo hatarini,kila siku jioni wanafunzi,watumia barabara wanaponea chupuchupu kugongwa na wasafirishaji bangi
bangi ina shida gani, acha ujinga
 
Nakulaani mtoa mada kwa jina la Jahrastafarah
Mkuu ni kweli ni biashara ya watu lakini isiwe ni hatari kwa watu wengine, watafute njia bora ya kusafirisha lakini hii kusafirisha mchana na speed kama anataka kupaa juu hili hamna
 
Najitokeza hapa kulalamikia usafirishaji wa bangi unaofanywa na vijana wa boda boda licha ya kwamba ni kinyume kusafirisha lakini imekuwa hatari kwa wakazi na wanafunzi wanaotumia hii barabara inayosafirisha bangi

Barabara ya Kijiji cha Nyamwigura kupitia vijiji vya Magoma, Nyasaricho, kitagasembe, Gwitiryo, Sirari , wakazi na wanaotumia wapo kwenye risky kubwa kwa ajali za barabarani

Hawa wasafirishaji bangi wataua watu kwenye hii barabara kwa sababu speed wanayopita kwenye hiyo barabara ni ya hatari sana, nyakati za jioni watoto wanakuwa wanatoka shule,inakuwa ni hatari sana kwa usalama wa watoto mpaka wazazi wanakuwa na wasi wasi usalama wa watoto na watu wengine na hao hao boda boda wasafirishaji

Je Jeshi la polisi Tarime Rorya mnasubiri watu wafe ndo mchukue hatua kwenye hii barabara

Tunalitaka jeshi la polisi kudhibiti hili, bora wasafirishe usiku kuliko mchana, maisha ya jamii ya maeneo haya yapo hatarini,kila siku jioni wanafunzi,watumia barabara wanaponea chupuchupu kugongwa na wasafirishaji bangi
Acha watu wavute,bangi waliharamisha wakoloni,kwao wanaruhusu siku hizi,wazee wetu walivuta ili kuvuta busara na mambo yalikua helwaa
 
Fanya kilichokupeleka Tarime Mkuu vinginevyo utabaki stori. Bangi kwa wengine ni halali na kwa hapo Tarime ni zao muhimu na limechangia maendeleo unayoona kwa wenyeji. Bangi inaenda Kenya na wakenya hawallalamiki wewe kinachokuuma ni kipi?
Mafi yake kabisa huyu jamaa
 
Najitokeza hapa kulalamikia usafirishaji wa bangi unaofanywa na vijana wa boda boda licha ya kwamba ni kinyume kusafirisha lakini imekuwa hatari kwa wakazi na wanafunzi wanaotumia hii barabara inayosafirisha bangi

Barabara ya Kijiji cha Nyamwigura kupitia vijiji vya Magoma, Nyasaricho, kitagasembe, Gwitiryo, Sirari , wakazi na wanaotumia wapo kwenye risky kubwa kwa ajali za barabarani

Hawa wasafirishaji bangi wataua watu kwenye hii barabara kwa sababu speed wanayopita kwenye hiyo barabara ni ya hatari sana, nyakati za jioni watoto wanakuwa wanatoka shule,inakuwa ni hatari sana kwa usalama wa watoto mpaka wazazi wanakuwa na wasi wasi usalama wa watoto na watu wengine na hao hao boda boda wasafirishaji

Je Jeshi la polisi Tarime Rorya mnasubiri watu wafe ndo mchukue hatua kwenye hii barabara

Tunalitaka jeshi la polisi kudhibiti hili, bora wasafirishe usiku kuliko mchana, maisha ya jamii ya maeneo haya yapo hatarini,kila siku jioni wanafunzi,watumia barabara wanaponea chupuchupu kugongwa na wasafirishaji bangi
Wekeni matuta kwenye niia/barabara..
Hao hawavuti, ni biashara wanapeleka Kenya
 
Back
Top Bottom