Polisi Kenya wakataza maandamano ya amani kinyume ya katiba

Polisi Kenya wakataza maandamano ya amani kinyume ya katiba

20230326_081146.jpg
 
Yaani huyo mzee RAO namuelewa sana sana, kuna wakati unaweza kujiona mdogo kumbe ndivyo ulivyo, sababu mazingira yanakufanya uwe hivyo.

Huyu mzee pamoja na kuwa ndiye chanzo vha mabadiriko makubwa ya kikatiba kuna watu wanamfanya mdogo, hawajui kumbe chini ya huo mbuyu kuna mzizi mmoja umeshikilia hiko jiti kubwa.
 
Kesho maandamano yako kama kawa, uzuri jeshi la polisi, mahakama hata rais ni vitu vitatu tofauti kwa Kenya siyo kama bongoland.

Juzi kuna jamaa alipiga marufuku media kutangaza live maandamano, gafla mahakama ikamuonya fasta jamaa akajifungia ndani.
 
Inspekta wa polisi hana mamlaka ya kuban maandamano, hadi rais mwenyewe hana. Sijui anatumia sheria gani kwa katiba.
Alafu wakenya si watu wa kutishiwa, watajitokeza tu na hamna kitu atafanya
 
Japokuwa mimi binafsi nilimuunga mkono Ruto kwenye uchaguzi uliopita lakini kwenye movement hii ya maandamano ninamuunga mkono Raila. Nimemuelewa sana. Hivi ndivyo siasa inapaswa kufanywa.
 
Ni vile hamjui kiini cua maandamano.hakuna cha maandamano ya amani bali raila kazuiliwa kuuza gesi sababu alikuwa anauza bei kubwa ss akaona kumkomesha rais ni maandamano so watu watakufa ila raila anatafuta ugali wake hana uchungu na wakenya. Rejeeni ya uganda mu7 na yule jamaa macho makubwa waligombea papuchi ujanani huko. Mmoja alikula mke wa mwenzake naye macho akalipiza matokeo wakabadilishana wake ndo wakaabzisha ugomvi
 
Kesho maandamano yako kama kawa, uzuri jeshi la polisi, mahakama hata rais ni vitu vitatu tofauti kwa Kenya siyo kama bongoland.

Juzi kuna jamaa alipiga marufuku media kutangaza live maandamano, gafla mahakama ikamuonya fasta jamaa akajifungia ndani.
Sasa huyu hapa anatumia mfano wa Tanzaniahttps://youtu.be/9BQniKqOFJA
Wewe ni miongoni mwa wale Nyerere aliwataja kuwa na umasikini wa mawazo, kwamba unaweza ukawa na Almasi, lakini akaja mwenye akili akakudanganya na kukubadilishia chupa na ukaondoka na kuchekelea Kama zuzu. Wakati Odinga anathamini jinsi polisi wa Tanzania walivyo na utii kwa jamii kuzidi polisi wa Kenya, wewe unaropoka.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Inspekta wa polisi hana mamlaka ya kuban maandamano, hadi rais mwenyewe hana. Sijui anatumia sheria gani kwa katiba.
Alafu wakenya si watu wa kutishiwa, watajitokeza tu na hamna kitu atafanya
Raila anatumia Tanzania Kama mfano wa kuigwa na polisi wa Kenya




Kenya ni nchi ya hovyo na fujo lazima mkubali, uchaguzi ulifanyika kwa amani na kupitia hatua zote muhimu hadi mahakama ya juu, kwanini mnaleta fujo?, Ninyi ni watu wa hovyo hamtaki hata kuheshimu Sheria zenu wenyewe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Yani kwa jinsi “separation of power” inafanya kazi nchi kenya naona wivu kbsa.

Raisi hana mamlaka juu ya mahakama wa bunge na hawezi vunja katiba.

Siyo hii nchi ya Danganyika.

lakini wakenya wali-pay price ya mfumo wao huu mwaka 2007 kama sikosei, Danganyika hapa hakuna kitu twaweza gain without bloodshed
 
Yani kwa jinsi “separation of power” inafanya kazi nchi kenya naona wivu kbsa.

Raisi hana mamlaka juu ya mahakama wa bunge na hawezi vunja katiba.

Siyo hii nchi ya Danganyika.

lakini wakenya wali-pay price ya mfumo wao huu mwaka 2007 kama sikosei, Danganyika hapa hakuna kitu twaweza gain without bloodshed
Maandamano ya amani yameanza kusambaratishwa na polisi, hii ndio demokrasia wakenya walioipigania?


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Japokuwa mimi binafsi nilimuunga mkono Ruto kwenye uchaguzi uliopita lakini kwenye movement hii ya maandamano ninamuunga mkono Raila. Nimemuelewa sana. Hivi ndivyo siasa inapaswa kufanywa.
Maandamano yanatibu nini? Una taarifa kama kuna ukora umefanyika siku ya maandamano? Unajua kama kuna wajasiriamali mitaji itayumba sababu ya maandamano?
 
Maandamano yanatibu nini? Una taarifa kama kuna ukora umefanyika siku ya maandamano? Unajua kama kuna wajasiriamali mitaji itayumba sababu ya maandamano?
Maandamano ni haki kisheria bila kujali Kama yanatibu au hayatibu kitu chochote, haya maswali ulipaswa uwaulize wabunge wa Kenya na wananchi wa Kenya waliopitisha katiba iliyoruhusu maandamano, hutendi haki kuwauliza raia ambao wametii na kutekeleza kilichoruhusiwa na katiba ya nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Yaani huyo mzee RAO namuelewa sana sana, kuna wakati unaweza kujiona mdogo kumbe ndivyo ulivyo, sababu mazingira yanakufanya uwe hivyo.

Huyu mzee pamoja na kuwa ndiye chanzo vha mabadiriko makubwa ya kikatiba kuna watu wanamfanya mdogo, hawajui kumbe chini ya huo mbuyu kuna mzizi mmoja umeshikilia hiko jiti kubwa.
Sasa anataka Nini wakati mwenzake yupo madarakani kikatiba . Yaani anataka Ruto akimbie Ikulu halafu yeye aingue .

Je, yeye akiingia Ikulu halafu watu wa Ruto nao waandamane nchi itatawalika Vipi? Hivi anafikiri hata Huko ULAYA ambapo Kuna Demokrasia za kihuni kama uingereza ambapo Malkia au mfalme anakaa madarakani mpaka anakua kituko Kwa uzee na kuwa punguani lakini hawafanyi fujo juu ya utawala Bali mambo mangine tana hayafanywi na wanasiasa Bali Wanaharakati na Wahanga.

Raila anapaswa kudhibitiwa mapema sana Kwa faida na uhai wa nchi. Amefanikiwa kuweka katiba Bora lakini ubora wa katiba sio kuandamana. Haki ya kuandamana sio ya Msingi kuliko haki ya wananchi kuwa huru kufanya shughuli zao za kila siku. Haiwezekani kuwa na Mkuu wa nchi halafu Mwingine atumie umaarufu wake kisiasa kufanya fujo eti akiguswa wanachama wake wataanzisha vurugu na kuondoa amani ya nchi. Hii sio sawa .

Amani ni msingi wa maendeleo ya nchi Duniani kote ndio maana Marekani inatumia nguvu kubwa kuweka Military Base kila mahali Kwa gharama kubwa. Lengo lake ni kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeweza kuingilia amani ya wananchi wa Marekani . Ni lazima kuwe na misingi ya amani Kwa kila mtu kuilinda.
 
Back
Top Bottom