Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Katika hali ya kustaajabisha na kushangaza Jeshi la polisi nchini Kenya limempatia maandazi makavu muhanga wa janga aliyezingirwa na maji kwa takribani siku tatu mpaka walipokuja kumuokoa. Jionee mwenyewe video na piicha zilizokamatwa wakati wa tukio.