Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Jeshi la polisi Halmashauri ya mji Makambako,limesema kuwa limejipanga vyema kuimarisha ulinzi na usalama katika kipindi cha chote cha kampeni ili vyama vyote vya kisiasa vifanye kampeni zao kwa usalama bila kupata changamoto yoyote.
Hayo yameelezwa na Mrakibu mwandamizi wa polisi Omary Diwani, ambaye pia mkuu wa polisi wilaya ya kipolisi Makambako, akiwa ofini kwake ambapo vyama vya kisiasa kesho vinatarajiwa kuanza mikutano ya kampeni kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika November 27.
Kupata mijadala ya kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Jeshi la polisi Halmashauri ya mji Makambako,limesema kuwa limejipanga vyema kuimarisha ulinzi na usalama katika kipindi cha chote cha kampeni ili vyama vyote vya kisiasa vifanye kampeni zao kwa usalama bila kupata changamoto yoyote.
Hayo yameelezwa na Mrakibu mwandamizi wa polisi Omary Diwani, ambaye pia mkuu wa polisi wilaya ya kipolisi Makambako, akiwa ofini kwake ambapo vyama vya kisiasa kesho vinatarajiwa kuanza mikutano ya kampeni kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika November 27.
Kupata mijadala ya kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024