LGE2024 Polisi Makambako: Tutaimarisha ulinzi kipindi chote cha kampeni Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Your browser is not able to display this video.


Jeshi la polisi Halmashauri ya mji Makambako,limesema kuwa limejipanga vyema kuimarisha ulinzi na usalama katika kipindi cha chote cha kampeni ili vyama vyote vya kisiasa vifanye kampeni zao kwa usalama bila kupata changamoto yoyote.

Hayo yameelezwa na Mrakibu mwandamizi wa polisi Omary Diwani, ambaye pia mkuu wa polisi wilaya ya kipolisi Makambako, akiwa ofini kwake ambapo vyama vya kisiasa kesho vinatarajiwa kuanza mikutano ya kampeni kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika November 27.

Kupata mijadala ya kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Yes,
na iwe hivyo kote nchini ili kudhibiti na kusambaratisha kabisa, magenge ya vurugu za uchaguzi yaliyondaliwa na vyama vyenye mihemko na hasira 🐒
 
TAMISEMI wamemaliza awamu ya kwanza ya kazi yao kwa ufanisi mkubwa sana, sasa ni zamu ya Polisi kuonesha umahiri wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…