Polisi Marekani wamejiwa juu baada ya kupiga picha na jambazi na kuposti kwenye mitandao ya jamii

Polisi Marekani wamejiwa juu baada ya kupiga picha na jambazi na kuposti kwenye mitandao ya jamii

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi!

43518811-9625627-Four_cops_have_come_under_fire_after_posing_for_a_photo_above_wi-a-4_16221376...jpg

Wananch Marekani wamewalalamikia Polisi kwenda kinyume na miiko ya kazi kwa kupiga picha na jambazi waliomkamata na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Jambazi hilo lilijaribu kuiba benki likashindwa na kutokomea vichakani ambapo polisi walimfukuzia hadi kumkamata.
 
Huku tunaita kiki sijui kwa huko kwao wanaitaje sasa.
 
Inakuwaje wanajamvi!

View attachment 1799743
Wananch Marekani wamewalalamikia Polisi kwenda kinyume na miiko ya kazi kwa kupiga picha na jambazi waliomkamata na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Jambazi hilo lilijaribu kuiba benki likashindwa na kutokomea vichakani ambapo polisi walimfukuzia hadi kumkamata.
Mi nafikiri kwenye syche ya watu weupe/wazungu,mtu mweusi wanamuona kama mnyama kiumbe ambaye hajakamirika
 
We blacks still have a long way to go, it's pathetic to see things like this happening in this century and in countries that are more organized than ours. Kama angekuwa from other race, hawangefanya huo utopolo. F them all!
 
Back
Top Bottom