Polisi mbona mnatoa maswali magumu sana mnapokuwa active suala linalohusu CHADEMA

Polisi mbona mnatoa maswali magumu sana mnapokuwa active suala linalohusu CHADEMA

Ngengemkenilomolomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
270
Reaction score
450
Wakuu,

Najiuliza mbona polisi wapo active sana linapokuja suala la CHADEMA au suala linalohusu CHADEMA, ila kuhusu utekaji unaoendelea na watu kupotea na mbaya zaidi kuchafuliwa jina lao na taasisi kwa ujumla maana watekaji wanajitambulisha kama polisi hapo wameweka flight mode kabsa.

Kwamba wanawaogopa sana CHADEMA kuliko watekaji?

Kwamba wanahakikisha CHADEMA haitokuja kushika dola kwa namna yoyote ile ili waendelee kumfurahisha nani?

Nimewaza sana sijapata majibu.

Pia soma
- Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja
 
Kwani watekaji ni akina nani? Kwa nini mara zote wanapofanya hayo matukio yao ya utekaji, hujitambulisha kama ni polisi?
 
Wakuu,

Najiuliza mbona polisi wapo active sana linapokuja suala la CHADEMA au suala linalohusu CHADEMA, ila kuhusu utekaji unaoendelea na watu kupotea na mbaya zaidi kuchafuliwa jina lao na taasisi kwa ujumla maana watekaji wanajitambulisha kama polisi hapo wameweka flight mode kabsa.

Kwamba wanawaogopa sana CHADEMA kuliko watekaji?

Kwamba wanahakikisha CHADEMA haitokuja kushika dola kwa namna yoyote ile ili waendelee kumfurahisha nani?

Nimewaza sana sijapata majibu.

Pia soma
- Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja
POLICCM.
 
Nimeshangaa Sana jeshi la polisi kuwa active Sana kwenye mambo ya siasa ya CHADEMA lakini wapo kimya kushughulikia matapeli wanaoumiza watu mtaani. Tena wengine wanatumia vyeo vya jeshi.

Hii sio sawa, Kama jeshi la polisi linataka lilinde heshima yake liache double standards. Lisiwe jeshi la kushughulika na CHADEMA pekee na kuacha matapeli wanalichafua jina la Ikulu na Jeshi la Wananchi Tanzania.
 
Back
Top Bottom