king mjuni
Member
- Oct 11, 2014
- 93
- 15
Samahani wanajamvi mimi nina swali na pia nisaidiwe:, Nina ndugu yangu yupo kituo cha polisi kwa kosa la kununua mali ya wizi:-
Swali 1. Je naweza kupata dhamana yake?
Swali 2. Je naweza kupata namna nzuri ya kumaliza kesi yake
Swali 3. Je ni haki kukaa pale kituoni kwa siku mbili sasa
Tatizo lililopo pia ni kwamba kafunguliwa kesi ya uchunguzi juu ya mali zake anazomili kama ni halali ambazo wanadai hazina mdhamana, lakini pia mtu mwenye mali husika yupo na anataka kiasi cha shilingi 60000//= kama fidia ya mali yake
MSAADA KWA HILO WANASHERIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali 1. Je naweza kupata dhamana yake?
Swali 2. Je naweza kupata namna nzuri ya kumaliza kesi yake
Swali 3. Je ni haki kukaa pale kituoni kwa siku mbili sasa
Tatizo lililopo pia ni kwamba kafunguliwa kesi ya uchunguzi juu ya mali zake anazomili kama ni halali ambazo wanadai hazina mdhamana, lakini pia mtu mwenye mali husika yupo na anataka kiasi cha shilingi 60000//= kama fidia ya mali yake
MSAADA KWA HILO WANASHERIA
Sent using Jamii Forums mobile app