Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Tumalize maadhimisho haya kwa kuahidi kuchukua hatua dhidi ya Ukatili wa Kijinsia na kujenga Dunia yenye Haki na Usawa
Sote tuna jukumu la kuhakikisha tunakuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mabadiliko ya kweli
Soma Pia: Maadhimisho ya 16 Days Of Activism: tuungane kuwalinda Wanawake na Wasichana dhidi ya Ukatili
=======
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limetangaza vita dhidi ya wagaga wa kienyeji ambao wamekuwa wakiwashawishi wananchi kuwabaka watoto wadogo na kuwalawiti kwa kigezo cha kupata utajiri wa haraka.
Sote tuna jukumu la kuhakikisha tunakuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mabadiliko ya kweli
Soma Pia: Maadhimisho ya 16 Days Of Activism: tuungane kuwalinda Wanawake na Wasichana dhidi ya Ukatili
=======
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limetangaza vita dhidi ya wagaga wa kienyeji ambao wamekuwa wakiwashawishi wananchi kuwabaka watoto wadogo na kuwalawiti kwa kigezo cha kupata utajiri wa haraka.