Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa linafanyia uchunguzi madai ya kutekwa kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo (30).
Inadaiwa kuwa Manengelo alichukuliwa na watu wanne kutoka nyumbani kwa rafiki yake, Jovin Thomas (32), ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya Misungwi.
Kwa mujibu wa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Audax Majaliwa, taarifa zinaonyesha kuwa Manengelo alichukuliwa Februari 14, 2025, na tangu wakati huo hakuna yeyote aliyeweza kuthibitisha alipo, ikiwemo ndugu na jamaa zake.
SACP Majaliwa ameongeza kuwa uchunguzi bado unaendelea, huku akitoa wito kwa wananchi kushirikiana na vyombo vya dola kwa kutoa taarifa zozote zitakazosaidia katika upatikanaji wa Manengelo.
Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa linafanyia uchunguzi madai ya kutekwa kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo (30).
Inadaiwa kuwa Manengelo alichukuliwa na watu wanne kutoka nyumbani kwa rafiki yake, Jovin Thomas (32), ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya Misungwi.
Kwa mujibu wa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Audax Majaliwa, taarifa zinaonyesha kuwa Manengelo alichukuliwa Februari 14, 2025, na tangu wakati huo hakuna yeyote aliyeweza kuthibitisha alipo, ikiwemo ndugu na jamaa zake.
SACP Majaliwa ameongeza kuwa uchunguzi bado unaendelea, huku akitoa wito kwa wananchi kushirikiana na vyombo vya dola kwa kutoa taarifa zozote zitakazosaidia katika upatikanaji wa Manengelo.
Ndicho tunachokiweza Tanganyika,, ni rahisi sana kuwaza na kupanga maovu, mabaya na kuharibu kuliko kupanga maendeleo, utafiti na utaalam. Ndiyo kwa heri huyo, halafu unataka ndugu zake waipiganie nchi na kuwa wazalendo. Ngumu.
Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa linafanyia uchunguzi madai ya kutekwa kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo (30).
Inadaiwa kuwa Manengelo alichukuliwa na watu wanne kutoka nyumbani kwa rafiki yake, Jovin Thomas (32), ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya Misungwi.
Kwa mujibu wa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Audax Majaliwa, taarifa zinaonyesha kuwa Manengelo alichukuliwa Februari 14, 2025, na tangu wakati huo hakuna yeyote aliyeweza kuthibitisha alipo, ikiwemo ndugu na jamaa zake.
SACP Majaliwa ameongeza kuwa uchunguzi bado unaendelea, huku akitoa wito kwa wananchi kushirikiana na vyombo vya dola kwa kutoa taarifa zozote zitakazosaidia katika upatikanaji wa Manengelo.
Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa linafanyia uchunguzi madai ya kutekwa kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo (30).
Inadaiwa kuwa Manengelo alichukuliwa na watu wanne kutoka nyumbani kwa rafiki yake, Jovin Thomas (32), ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya Misungwi.
Kwa mujibu wa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Audax Majaliwa, taarifa zinaonyesha kuwa Manengelo alichukuliwa Februari 14, 2025, na tangu wakati huo hakuna yeyote aliyeweza kuthibitisha alipo, ikiwemo ndugu na jamaa zake.
SACP Majaliwa ameongeza kuwa uchunguzi bado unaendelea, huku akitoa wito kwa wananchi kushirikiana na vyombo vya dola kwa kutoa taarifa zozote zitakazosaidia katika upatikanaji wa Manengelo.
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."
Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.