Polisi na Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini hamkichukulii hatua CCM? Mnataka wamuue nani zaidi ndio mgundue Ugaidi wa CCM?

Polisi na Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini hamkichukulii hatua CCM? Mnataka wamuue nani zaidi ndio mgundue Ugaidi wa CCM?

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,695
Ni hivi karibuni tu mwanachama gaidi wa CCM bwana Hamza kutokana na ripoti za uchunguzi wa Polisi ameua Askari polisi wetu watatu na mlinzi mmoja wa kampuni binafsi na kujeruhi askari wengine na RAIA wema.

Aliyekuwa mwenyekiti wa Vijana wa CCM bwana Kheri James alitamka hadharani kuwa Walimkosa kosa kumuua Tundu Lissu kwa risasi lakini watatumia kuua kwa njia ya sumu na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya kauli zake za ugaidi huo.

Kuonesha kuwa CCM wanaua RAIA kwa Sumu kweli na kwa njia zingine Makamu mwenyekiti wa CCM bwana Philip Mangula akiwa ktk kikao cha Chama na viongozi wenzie wa CCM alilishwa SUMU na kunusurika kufa baada ya kukimbizwa hospital na kulazwa kwa muda wa siku kadhaa. Polisi walithibitisha kuwa Mangula alipewa sumu akiwa ktk kikao nyeti na wana CCM wenzie lakini mpka sasa hakuna aliye kamatwa wala kuhisiwa aliyetaka kumua Mzee wetu huyu.

Ninyi polisi endeleeni kuhangaika na ugaidi hewa wa wanasia wa upinzani huku mkifumbia macho ugaidi halisi wa CCCM.
Watanzania wa Leo sio wajinga.

CC. Mataga
 
SISIYEMU wote ni MALAIKA

1629790686237.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hizo cc ndio umeharibu.

Nina wasi wasi kama hao magaidi hawako huko huko kwao.

Issue ya Hamza ni vile ilienda fyingo tu lakini ilikuwa ni calculated na hao hao.
Sawa Mkuu nimekusoma nimerekebisha pale.
 
Ni hivi karibuni tu mwanachama gaidi wa CCM bwana Hamza kutokana na ripoti za uchunguzi wa Polisi ameua Askari polisi wetu watatu na mlinzi mmoja wa kampuni binafsi na kujeruhi askari wengine na RAIA wema.

Aliyekuwa mwenyekiti wa Vijana wa CCM bwana Kheri James alitamka hadharani kuwa Walimkosa kosa kumuua Tundu Lissu kwa risasi lakini watatumia kuua kwa njia ya sumu na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya kauli zake za ugaidi huo.

Kuonesha kuwa CCM wanaua RAIA kwa Sumu kweli na kwa njia zingine Makamu mwenyekiti wa CCM bwana Philip Mangula akiwa ktk kikao cha Chama na viongozi wenzie wa CCM alilishwa SUMU na kunusurika kufa baada ya kukimbizwa hospital na kulazwa kwa muda wa siku kadhaa. Polisi walithibitisha kuwa Mangula alipewa sumu akiwa ktk kikao nyeti na wana CCM wenzie lakini mpka sasa hakuna aliye kamatwa wala kuhisiwa aliyetaka kumua Mzee wetu huyu.

Ninyi polisi endeleeni kuhangaika na ugaidi hewa wa wanasia wa upinzani huku mkifumbia macho ugaidi halisi wa CCCM.
Watanzania wa Leo sio wajinga.

CC. Mataga
Mwendazake alikwisha sema mwanaccm yeyote aliyevaa unifomu asibugudhiwe! Usiwaponze polisi namsajili.
 
Niliwahi kusema kuwa ugaidi kama ulivyo upo ccm, na ccm ndio nyuma ya ulezi wa hii kitu!
Hakuna ugaidi wa Mbowe! free Mbowe
Hakuna ugaidi wa Hamza!
 
Mleta Uzi inatakiwa kuelewa kuwa ofisi ya msajili was vyama na polisi are official party wings of ccm. So husitegemee kuona wakienda against na msimamo was chama Chao. Take it Kama ulikuwa hujalijua Hilo.
 
Back
Top Bottom